Natafuta fundi wa jiko la umeme,plate moja sasa haifanyi kazi(haileti moto mkali)kama hapo mwanzo ni leo tu ndio hili tatizo limejitokeza,aina ya jiko ni Oscar 2 plates hutumia umeme na 2 platess hutumia gas,kama kuna mtu anamfahamu fundi mzuri tafadhali anijulishe ,tel no 0786 585 490 nipo Dar ,tafadhali awe anajua kutengeneza jiko na isiwe ni fundi umeme tu.