Nahitaji tv lcd inch 24 na generator nzuri isiwe tiger.

Nahitaji tv lcd inch 24 na generator nzuri isiwe tiger.

Benard kombe

Senior Member
Joined
Jul 15, 2012
Posts
139
Reaction score
41
heshima kwenu wakuu nahitaji tv lcd inch 24 na generator aina yoyote kama itakuwa ya kisasa itakuwa bora zaidi mi nipo tabora mawasiliano ni 0785854807 au benardkombe043@gmail.com.
natanguliza shukrani.
 
Hivi vitu unavyohitaji vinauzwa tu madukani, why don't you just go and buy?
 
Brother,unaweza kugoogle na kupata mawasiliano ya maduka yalioko dsm ukawasiliana nao,wakakushauri,ukawalipa na kukusafirishia hadi mlangoni...!
 
Hivi vitu unavyohitaji vinauzwa tu madukani, why don't you just go and buy?

bro. kuwa mstaarabu kila thread siyo lazima uchangie.sikuwa na maana mbaya kuuliza ukiachia mbali kuwa ni jukwaa la matangazo madogomadogo
pia kama nilivyoeleza mi nipo tabora upatikanaji wa vitu hivyo adimu sana pia ni ghali ukilinganisha na dar.
umenikwaza sana mapu....! yako kurukia mambo usiyo yaelewa tena ukome.
 
bro. kuwa mstaarabu kila thread siyo lazima uchangie.sikuwa na maana mbaya kuuliza ukiachia mbali kuwa ni jukwaa la matangazo madogomadogo
pia kama nilivyoeleza mi nipo tabora upatikanaji wa vitu hivyo adimu sana pia ni ghali ukilinganisha na dar.
umenikwaza sana mapu....! yako kurukia mambo usiyo yaelewa tena ukome.

Ni sawa But Lugha hiyo sio nzuri

In any case labda wamepishana lugha, Bidhaa za kununua mikononi sio nzuri.
 
Misawa Tu ukiona kitu hunachakuchangia kaa kimya mana jamii forum sehemu yakusaidiana ndio mana unakija unaeleza bajeti yako mwenye nacho anakuzia toa ofa kaka TV bei gani bajet yako nageneleta bei gani
 
Ipo LG 21 nch ni kama mpya ukiiona ina miaka miwili na nusu toka inunuliwe ni PM nikuelekeze ilipo ukaitizame....huko Upanga

Generator ninalo ila linahitilafu kidogo fundi alitaka elfu 25 tu ni ya kichina ELEMAX 3500 naweza kukuuzia kwa laki mbili tu...

Nina vitu vingi sana vya kuuza bei ubwete
 
Back
Top Bottom