mkada
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,200
- 908
Naomba ushauri wana JF,nimejikusanya na sasa nataka kununua ka gari angalau ka kunifanya niwe mobile kuliko nilivyo sasa,na ka gari ninakopanga kununua ni Toyota caldina,naomba ushauri wenu wanajamii especially kuhusu spear na fuel consumption.Thanx in advance