Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Toleo la 1998 au 1999. Iwe Automatic. Milango Mitano. Bajeti 12mil. Unayo piga simu 0717114409.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
habari JF, Kuna nyumba kubwa na ndogo zinapangishwa karibu na mlimani city. nyumba kubwa ina vyumba vitatu, sehemu ya kulia chakula,sehemu ya jiko, public toilet. katika vyumba hivyo vitatu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari JF, Kuna nyumba kubwa na ndogo zinapangishwa karibu na mlimani city. nyumba kubwa ina vyumba vitatu, sehemu ya kulia chakula, jiko, public toilet. katika vyumba hivyo vitatu kimoja wapo ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa Anaejua Bei Ya Play Station(ps) Na Kwa Upande Wa Mwanza Zinipatikana Wapi
0 Reactions
0 Replies
942 Views
Chumba kina choo pamoja na sitting room , kipo ndani ya gate gari inaingia luku mnatumia familia 2 . kipo maeneo ya Fao hapa kinondoni , kodi laki 140,000 unaweza lipa hata miezi 6. mimi ni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kina ukubwa wa eka moja na nusu bei ya chee.yeyote mwenye kuhitaji anicall no 0713214398
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nyumba ya Ghorofa moja inauzwa Kinondoni Mil.620 unaweza kuingia na kuishi iko katika hali nzuri,maelewano yapo,kwa anayehitaji anipigie 0713166237.
0 Reactions
4 Replies
984 Views
jamani kwa wale ambao wanatafuta fundi wa computer nipo unaweza kunipigia 0655684396,nafanya installation ya windows ssp2,ubuntu,ssp3,7,antivirus,maintanance
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau kwa anayefahamu utaratibu wa kupata viti ,meza na friji kutoka kwenye makampuni ya soda(pepsi & cocacola) na bia kwaajili ya Bar ,naomba anifahamishe.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Cif dar tzs mil 32
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau naulizia bei ya water tanki lenye kuchukua ujazo wa lita 5000. kama inawezekana mwenye ufahamu na haya mambo anipe bei na kiwanda lilipotengenezewa. Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyumba ya kupanga inatafutwa, iwe na vyumba viwili vya kulala na kimoja ni master na choo cha public kizuri, sebule, jiko safi, stoo na vyumba vingine muhimu, maeneo kuanzia kurasini, chang'ombe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Gari hii inauzwa kwa tsh.milioni 12tu iko jijini dar es salaam kwa mawasiliano piga 0719 147503,0753 009325.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Ndugu zangu wana JF naombeni msaada, Kwa yeyote anayemfahamu fundi mzuri wa skimming, kupaka rangi, tiles na gypsum ceiling, naomba anipe contact zake either hapa jukwaani au ani PM. Site ipo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mazda demio 2003 duty paid 8million. 102k kms. Unapata na full tank. 0653222223
0 Reactions
1 Replies
950 Views
Wakuu nauza I pad 3 kwa Tshs 900,000/=, maongezi yanaruhusiwa.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza line ya voda ina 1 month unlimited internet. Naiuza kwasababu eneo nilipo hakuna network ya voda. imetumika siku 8.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
RAUM ya mwaka 2000 ipo katika hali nzuri sana. Cc1490, km 93000, Bei 7.35million. Reason 4sale :Nimenunua gari nyingine. 0715757272 Dar es salaam
0 Reactions
7 Replies
2K Views
NAUZA GOOGLE NEXUS 7 TABLET,IMETOKA USA AND VERY LITTLE USED. PRICE 550000/= CALL O714486466 Display [*=left]Type7 in, IPS TFT active matrix - LED backlight [*=left]Display Resolution1280 x...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ikiwa bado ni siku kadhaa kabla ya mfumo wa Analogue Broadcasting kuzuiwa rasmi, Watanzania esp. wakazi wa jiji kuu wapo katika pilikapilika za ununuzi wa ving'amuzi ili waendelee kupata huduma ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom