tablet ya toshiba inauzwa bei cheee

tablet ya toshiba inauzwa bei cheee

Parata

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2011
Posts
3,090
Reaction score
692
toshiba tablet GB 14 IKO katika hali nzuri napenda niwe muwazi niliitoa pin yake ya kuwashia ivyo lazima utumie kitu kuwashi kama kalam au ufunguo...inakaa na chaji masaa nane ukiwa unaangalia muvi,inapiga picha na kuchukua muvi,ina kijisehemu cha kuwekea flash,ina internet ya wireless...wahi sasa BEI NI MAELEWANO ni inbox kama unaitaji
 
Nina 50,000/= mkuu umesema bei maelewano
 
Nina 60,000 unasemaje?weka namba sasa,au nicheki 0755065418
 
specification mkuu,kama RAM,ukubwa wa screen na mengineyo
 
Kiukwel mwenye nia anichek t pm nina uhakika hatajutia,bei haipungui hapo
 
Kuna 300000 hapa bila chenga kama iko serious,tufanye biashara.My n# 0757383551
 
Back
Top Bottom