Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau natafuta haraka sana nyumba ya kupanga arusha iwe na vyumba 2 vya kulala,sebule na jiko na pia iwe self contained maeneo ya njiro/nanenane au karibu na njiro au mjini pia buget isizid 200000
0 Reactions
8 Replies
2K Views
CIF DAR EUR 25.000 Description: DYNAPAC 12000R YEAR 1992 5.943 HOURS 6 CYLINDERS ENGINE DEUT
0 Reactions
0 Replies
805 Views
ciaf dar pound 40.000
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Sold............. Imeshauzwa.............
0 Reactions
4 Replies
1K Views
tunapenda kuwatangazia wamiliki wa magari ,trucks,kampuni binafsi za magari maeneo ya wilaya ya kinondoni jeff mobile car wash tushaanza kutoa huduma za uwoshaji wa magari kokote ulipo nyumbani au...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
JF naikubali, ni kisima cha elimu, uzoefu na maarifa ya kila aina, isitoshe kuna waungwana kibao. Mwenzenu nimekwama, naombeni waungwana mnisaidie. Biashara zangu zimesimama kwa kukosa mtaji...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni wakati wako wa kuendesha gari zuri kutoka Hyundai aina ya Hyundai TB ya mwaka 2006 ina 1390cckwa USD 999 FOB au USD 2500 CIF ikiwa pamoja na ukaguzi. Tembelea website yetu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nafasi ya kazi. Kampuni ya MMP inatangaza nafasi 1 ya kazi. (one post) SECRETARY Sifa ~awe na vyeti uhusika ktk nyanja hii. ~uwezo wa kuzungumza kwa ufasaha lugha ya KISWAHILI na ENGLISH...
0 Reactions
0 Replies
894 Views
Jabari wana JF, nani anajua kituo cha watoto Yatima chenye nafasi nataka nigawe sofa zangu used baada ya kununua mpya, au unaweza nunua kwa matumizi yako ukafanya repair kidogo, pesa hiyo itaenda...
0 Reactions
2 Replies
885 Views
Nakodisha gari kwa kampuni, bei maelewano. 0716 152 157
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Black berry 9700 bold iko kwa good condition chek me thru 0717022737 for b'ness
0 Reactions
0 Replies
848 Views
wadau habari za asubuhi. nimekua nikitafuta taarifa za jinsi ya kupata vifaranga vya kuku wa mayai. nipo Lindi kwa sasa. kwa yeyote ambae anaweza kunisaidia naomba afanye hivyo ikiwa ni pamoja na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Suzuki vitara-Escudo iko katika hali nzuri,automatic transmission,petrol engine 1590cc,grey-metallic,127000km.Inatembea mwenye kuihijitaji ani pm bei ni 6.5mil.
0 Reactions
19 Replies
3K Views
NAUZA IPHONE 3G 8GB KWA 250,000/= TU IPO KATIKA HALI NZURI nicheki kwa 0655 44 44 40 PICHA NTA ATTACH ANY TIME. NOTE: NI ORIGINAL.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
BAJAJ 2 USED ZINAUZWA. 1. Milioni 3.5 tshs 2. Milioni 2.8 MAONGEZI/NEGOTIABLE: YES MAHALI/PLACE: DAR ES SALAAM SIMU: +255659463709 au/or PM
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana Jamii! Nyumba ya kupanga vyumba viwili vya kulala, Sebule, Dinning,Choo na bafu inapatikana, jirani na Mtoni Kijichi CCM parking ya kutosha kodi ni tshs.170,000 kwa mwezi na kodi ni miezi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Plots for sale at KIMARA 'B' size mita 32*25 or 800sqm.Price for one plots is Tsh 15,000,000/= (for more information call 0715055577/0769055577)
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ANNOUNCEMENTS: 1 Bed room Service Apartments at Nelly's Inn Mbezi Beach: Nelly's Inn is proud to offer a few Apartments now available for just a fraction of the hotel rates.You get to live in a...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Namhitaji mwalimu wa kufundisha kuogelea; au ningependa kujua shule au mahali ambapo wanafundisha kuogelea katika mkoa wa Dar e Salaam. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Roel investment limited is here by at your disposal to enrich you with good health by providing best quality oil from Hanang' Manyara. available at your required quantity place your order at...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom