Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Salamu wana JF. Mimi ni mwalimu wa sekondari. Nipo Kahama mjini. Shule ipo katikati ya mji. Nahitaji mwalimu kutoka Dodoma, Morogoro, Moshi, Tanga au Mtwara ili tubadilishane vituo. Nawasilisha.
0 Reactions
0 Replies
925 Views
Nyumba 2 zilizo eneo moja zinauzwa tegeta skanska, zina hati miliki ukubwa wa eneo ni sqm 739. kila nyumba ina vyumba 3 vya kulala vyote master jiko, dining, public toilet, sebule kubwa, parking...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Bei yake ni 2.5 mil. Manualy, 8 trays eg. 240 eggs. Contact 0713401812
0 Reactions
3 Replies
3K Views
KAMPUNI YA MMP INATANGAZA NAFASI MOJA YA KAZI YA U-SEKRETARI SIFA ~Awe na cheti cha kozi husika ~Awe anauwezo wa kuongea ENGLISH na KISWAHILI kwa ufasaha ~ Mwenye muonekano nadhifu ~Uzoefu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KAMPUNI YA MMP INATANGAZA NAFASI MOJA YA KAZI YA U-SEKRETARI SIFA ~Awe na cheti cha kozi husika ~Awe anauwezo wa kuongea ENGLISH na KISWAHILI kwa ufasaha ~ Mwenye muonekano nadhifu ~Uzoefu...
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya ubungo hadi kimara baruti yenye vigezo vifuatavyo: Vyumba vitatu, kimoja master. Iwe na parking na iwe ndani ya fence Iwe na jiko dining na store Kodi...
0 Reactions
0 Replies
794 Views
Kiwanja/Nyumba inauzwa. Ipo Chang'ombe Maduka Mawili, Pembeni kabisa ya TCC Club. Ina Hati na doc zote za kisheria. Kiwanja kina ukubwa wa 381 Sqmtr. Bei 300M, Maelewano yapo. Wasiliana na Mmiliki...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwenye nokia x2-01 hata used aniambie sh ngapi naitaka namba yangu ni 0755065418,ukiwa mwanza itakuwa vizuri zaidi
0 Reactions
4 Replies
1K Views
iPhone 3GS 32gb inauzwa,ipo katika Hali nzuri...0718200777
0 Reactions
2 Replies
885 Views
Toyota rav 4l inauzwa..bei shiling 25 million..ipo kwenye hali nzuri sana km inavyoonekana kwenye picha!!imetumika kidogo sana..kwa maelezo zaidi wasiliana na mmiliki 0715890000 au nipm
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kama unahitaji tuwasiliane kwa simu au ujumbe mfupi kwa namba hii - 0787 527394 Nauza Projector Mpya kabisa aina ya EPSON LCD EX 5200 ndani ya box lake original Gharama ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Sofa zinauzwa. Ni za ngozi. Bei yake ni 750,000/- kwa zote. Anayetaka 0713401812. Jamaa ana hamia kikaz koani.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna watu humu jf wanaweza kukupa oda ya mzigo alafu ukifika nao bongo na kumtaarifu anazima simu hapatikani? Wengine wanaweza kukupigia wanataka mzigo ukifika nao maeneo alio kuelekeza bila...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nyumba mbili kubwa za vyumba saba zilizo kwenye kiwanja kimoja zinauzwa pia kuna feremu nne zipo mbagala kuu,kwa maelezo zaidi piga 0718097972
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Acer aspire one mini, 320 gb, 2gb ddr 3 ram, webcam nd ts brand new ndani ya boxi, Bei laki saba Kwa wale wasoma hisabati(700,000) N:b Bei inashuka na kama kawaida tunakupa guarantee,ahsanteni!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
wadau habari... Naomba msaada wa kujua bei ya video shooting camera kama za maharusin au sherehe sio zile ndogo za nyumban...plz kwa anayejua jamani anielekez au anitajie bei hata estimate...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
natafuta keyboard ya laptop dell n5050
0 Reactions
1 Replies
907 Views
Haya jaman nimechoka kumaliza mafuta ya tz11, mwenye hyo gari model yke isiwe chini ya 2004 nataman ningepata blue, kijivu hata white, bt bei nina 6m.. Iwe kwenye good and appreciable condition...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sofa zinauzwa. Jamaa anahama kikaz. Bei 750,000/-zote kama zilivyo. 0713401812. Ni ngoz tupu. Bado mpya kabsa.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Att: Natafuta projector used, iwe na hali nzuri, vifaa vyote i mean accessory zote ziwepo, niko mkoani nauli ya kusafirishia ni juu yangu! PM
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom