Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nina mgeni mfanya biashara kutoka ulaya anakuja Tz hivi karibuni, kaniulizia kama anaweza kupata bodyguard mwenye leseni na silaha. Sijawahi kusikia hii kitu Tz so kama unafahamu nielekeze.....
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Sasa hivi imeboreshwa zaidi kwa kuwekwa TILES Nyumba hiyo ina sifa zifuatazo: -2 Master bed rooms -Wide Sitting room -Dinning Room -Kitchen -Store -Public Toilet -Fence -Maji -Tiles -Umeme wa...
7 Reactions
76 Replies
9K Views
Anaitwa Dr sospeter Majala, ana uzoefu wa zaidi ya miaka 20, Anatibu magojwa mbalimbali isipokuwa ukimwi na TB. Wasiliana nae kupitia No 0769293026, atakusaidia baada ya kueleza matatizo yako.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
ipo Dar es salaam, gari ipo katika hali nzuri sana. imetembea km 130,000 tu haijawahi kuguswa injini. bei maelewano. mawasiliano 0754403356 au 0752555055
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Waungwana, Natafuta MSOMI, aliye ndani ya nchi - Tanzania - anayejua Kifaransa, KINAGA UBAGA. Kuna kazi ya kufanya translation, highly technical document, kutoka Kiingereza kwenda Kifaransa...
0 Reactions
2 Replies
986 Views
Nina dada angu amemaliza kidato cha nne amepata 4 ya 26 anampango wa kwenda tech anataka electrical and biomedical engineering aende ipi jaman
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NIKON D40 SLR 6.1 megapixel ,na NIKON D50 SLR 10 megapixel na Panasonic lumix pia ipo NEC PROJECTOR bulb yake ina masaa marefu complete ZOTE ZIPO DAR .bei maelewano piga simu 07112652110 ,
0 Reactions
1 Replies
888 Views
Wakuu habari! Nna xbox 360 inatatizo la hardware obviously mana ile ring inawaka rangi ya red... Sasa kama kuna mtu anajua how to fix it anambie ama kama kuna fundi lkn kwa instant service pia...
0 Reactions
0 Replies
684 Views
zamani ofisi zao zilikuwa samora karibu na stesheni, leo nimeenda nimekuta wamehama. mwenye kufahamu walipo hamia tafadhali anijulishe.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hi WANA JAMVI Jamani naomba kuuliza hii nokia Lumia 900 inatembea bei gani dukani kwa sasa ?? au kama kuna mtu anayo used !!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habarin wana Jf. nina gari yangu Chaser avante gx100. manufacture year 2000. reg: T.....BDU engine 1G vvti. cd.dvd.TV player & Navigator. Imported in 2010. Ipo katika hal nzuri.ipo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ili uweze kupata wallpaper game simbian game photo image editor image chef na mengine mengi bofya HAPA
0 Reactions
1 Replies
849 Views
1. Shamba la ekari 20 linauzwa lipo visegese kisarawe- ni km 7 toka kisarawe mjini. Bei ni Mil 15 kwa hizo ekari 20. Kuna mto unapita shambani panafaa pia kwa kilimo cha umwagiliaji. 2. Pia kuna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za weekend poleni na majukumu, natafuta mtu wa kufanya nae biashara ya hoteli karibu na stend mpya ya mabasi yaendayo mkoani kwa aliyetayari aniandikie kwa email kyelilucas@yahoo.com
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Naitaji dry water meters aina ya Kmei.Ziwe za plastic. Kama unazo dry water meters aina tofaouti pia,naomaba tuwasiliaane naitaji pcs 200.
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Habari ndugu wana JF, napenda kuwataarifu ndugu zangu hpa jirani yangu kuna nyumba nzima yenye vyumba 5 parking ya gari ndani kodi ni laki sita kwa mwezi. ipo magomeni moroco hotel karibu na...
0 Reactions
1 Replies
811 Views
Wakuu naitaji iphone 3gs yenye hali mzuri mtu yyte mwenye nayo please anipm tufanye biashara
0 Reactions
1 Replies
760 Views
Noah ya mwaka 2000 vibali vyote vimelipwa bado bima ( inasurance) imetembea km 125,000 inapatikana kinondoni 0657 145555 au 0772 00 8866 ina A/c cd player n.k bado nashughurikia vibao vya namba.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Salut Natafuta kiwanja Tegeta ukubwa at least 70*70 budget 30M! kiwe na hati.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana JF! Kuna nyumba inapangishwa jijini Arusha. Nyumba hiyo ni mpya kabisa, ikiwa na vyumba viwili vya kulala(kimoja masterbed room), sitting room, dinning room, kitchen, public toilet ...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom