Mwalimu wa kufundisha kuogelea anahitajika

Mwalimu wa kufundisha kuogelea anahitajika

Mkwai

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
306
Reaction score
96
Namhitaji mwalimu wa kufundisha kuogelea; au ningependa kujua shule au mahali ambapo wanafundisha kuogelea katika mkoa wa Dar e Salaam. Natanguliza shukrani.
 
Kuwa makini ikiwezekana uwe unajifunza kuogelea na Boxer la jinz maana wanaweza tatua malinda kabla hujajua kuogelea si unajua Kwenye maji kuna mengi hasa nyakati za kukuokoa maji ya shingo au mawimbi makali, Ni ushauri kwa nia njema tu maana pale mikocheni kwa Wahina vijana wengi wanavunjwa sana na wachina kwa style hiyo!
 
Back
Top Bottom