Mgeni wako anaongea lugha gani? Kuna jamaa yangu hapa ni mczech yeye ni pro body guard ana leseni na ninaweza kumpatia silaha hapa bongo ili afanye kazi hiyo tatizo ni lugha tu jamaa yangu hapandishi ung'eng'eNina mgeni mfanya biashara kutoka ulaya anakuja Tz hivi karibuni, kaniulizia kama anaweza kupata bodyguard mwenye leseni na silaha. Sijawahi kusikia hii kitu Tz so kama unafahamu nielekeze.....
Huyu atamfaa sanaNina mgeni mfanya biashara kutoka ulaya anakuja Tz hivi karibuni, kaniulizia kama anaweza kupata bodyguard mwenye leseni na silaha. Sijawahi kusikia hii kitu Tz so kama unafahamu nielekeze.....
Nakuwekea PM mkuu!Nina mgeni mfanya biashara kutoka ulaya anakuja Tz hivi karibuni, kaniulizia kama anaweza kupata bodyguard mwenye leseni na silaha. Sijawahi kusikia hii kitu Tz so kama unafahamu nielekeze.....
Mgeni wako anaongea lugha gani? Kuna jamaa yangu hapa ni mczech yeye ni pro body guard ana leseni na ninaweza kumpatia silaha hapa bongo ili afanye kazi hiyo tatizo ni lugha tu jamaa yangu hapandishi ung'eng'e
Bila shaka wewe ndiye mwenyeji wa huyo mgeni,cha msingi chukua vielelezo vyote vya mgeni wako,andika na barua kwa ofisi ya usalama taifa kuomba hayo anayotaka mgeni wako ukieleza sababu za kuomba bodyguard then utapewa kupitia serikali.Hiyo inawezekana kabisa ondoa shaka.Nina mgeni mfanya biashara kutoka ulaya anakuja Tz hivi karibuni, kaniulizia kama anaweza kupata bodyguard mwenye leseni na silaha. Sijawahi kusikia hii kitu Tz so kama unafahamu nielekeze.....
Bila shaka wewe ndiye mwenyeji wa huyo mgeni,cha msingi chukua vielelezo vyote vya mgeni wako,andika na barua kwa ofisi ya usalama taifa kuomba hayo anayotaka mgeni wako ukieleza sababu za kuomba bodyguard then utapewa kupitia serikali.Hiyo inawezekana kabisa ondoa shaka.
Bila shaka wewe ndiye mwenyeji wa huyo mgeni,cha msingi chukua vielelezo vyote vya mgeni wako,andika na barua kwa ofisi ya usalama taifa kuomba hayo anayotaka mgeni wako ukieleza sababu za kuomba bodyguard then utapewa kupitia serikali.Hiyo inawezekana kabisa ondoa shaka.
Nenda pale Kijito Nyama maeneo ya victoria au posta karibu na stesheni.iko wapi?
Mybe kiswahili kinanishinda au lah,nina maana awasiliane na usalama wa taifa akiwa na maelezo ya kutosha juu ya mgeni wake,awe na copy ya barua ya mwaliko aliyomtumia mgeni wake,bila kusahahu sababu za kutaka bodyguard then wao watajua nini cha kumsaidia!Barua usalama wa taifa? CHAI CHUNGU unajua unachokiongea?
Mybe kiswahili kinanishinda au lah,nina maana awasiliane na usalama wa taifa akiwa na maelezo ya kutosha juu ya mgeni wake,awe na copy ya barua ya mwaliko aliyomtumia mgeni wake,bila kusahahu sababu za kutaka bodyguard then wao watajua nini cha kumsaidia!
Jaribu kwa G4S pia, kuna mtu aliwahi kuniambia wanaprovide body guards, suala la leseni sina uhakika nalo.Nina mgeni mfanya biashara kutoka ulaya anakuja Tz hivi karibuni, kaniulizia kama anaweza kupata bodyguard mwenye leseni na silaha. Sijawahi kusikia hii kitu Tz so kama unafahamu nielekeze.....
[h=2][/h][h=2]G4S Security Services (T) Ltd[/h]Plot No. 57
Uporoto Street
Ursino Estate
Dar es Salaam
Tanzania
Tel: +255 (0) 222761006
Email: jacqui.bothma@tz.g4s.com
Sales
Tel: +255 (0) 222761006
sales@tz.g4s.com
iko wapi?