Kiwanja/Nyumba inauzwa. Ipo Chang'ombe Maduka Mawili, Pembeni kabisa ya TCC Club. Ina Hati na doc zote za kisheria.
Kiwanja kina ukubwa wa 381 Sqmtr. Bei 300M, Maelewano yapo.
Wasiliana na Mmiliki...
Toyota rav 4l
inauzwa..bei shiling 25 million..ipo kwenye hali nzuri sana km inavyoonekana kwenye picha!!imetumika kidogo sana..kwa maelezo zaidi wasiliana na mmiliki 0715890000 au nipm
Kama unahitaji tuwasiliane kwa simu au ujumbe mfupi kwa namba hii - 0787 527394
Nauza Projector Mpya kabisa aina ya EPSON LCD EX 5200 ndani ya box lake original
Gharama ni...
Kuna watu humu jf wanaweza kukupa oda ya mzigo alafu ukifika nao bongo na kumtaarifu anazima simu hapatikani?
Wengine wanaweza kukupigia wanataka mzigo ukifika nao maeneo alio kuelekeza bila...
Acer aspire one mini, 320 gb, 2gb ddr 3 ram, webcam nd ts brand new ndani ya boxi,
Bei laki saba
Kwa wale wasoma hisabati(700,000)
N:b
Bei inashuka na kama kawaida tunakupa guarantee,ahsanteni!
wadau habari...
Naomba msaada wa kujua bei ya video shooting camera kama za maharusin au sherehe sio zile ndogo za nyumban...plz kwa anayejua jamani anielekez au anitajie bei hata estimate...
Haya jaman nimechoka kumaliza mafuta ya tz11, mwenye hyo gari model yke isiwe chini ya 2004 nataman ningepata blue, kijivu hata white, bt bei nina 6m.. Iwe kwenye good and appreciable condition...
Kiwanja kina ekari moja kipo njia panda Moshi kando kando ( 30metres) ya barabara kuu kutoka Dar es Salaam/Arusha. Umeme na maji ya bomba vipo ni sehemu nzuri ya biashara kati ya miji midogo ya...
HELLOW
GARI AINA YA DAIHATSU MIRA ,MODEL YA MWAKA 2003, CC 1300 ECONOMIC,
AUTOMATIC TRANSMISSION,RIGHT HAND DRIVE.IN EXELLENT CONDITION.
KWA MAELEZO NA KUPATA PICTURE ZAKE HALISI,
INGIA FACEBOOK...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.