ANDENDEKISYE C
Member
- Mar 5, 2012
- 90
- 23
1. Shamba la ekari 20 linauzwa lipo visegese kisarawe- ni km 7 toka kisarawe mjini. Bei ni Mil 15 kwa hizo ekari 20. Kuna mto unapita shambani panafaa pia kwa kilimo cha umwagiliaji.
2. Pia kuna Kigamboni, eneo la gezaulole; mashamba ni mengi ekari moja kwa mil 2.
Kwa mawasilinao piga 0784 419030 utapata maelezo zaidi
2. Pia kuna Kigamboni, eneo la gezaulole; mashamba ni mengi ekari moja kwa mil 2.
Kwa mawasilinao piga 0784 419030 utapata maelezo zaidi