NAHITAJI LAPTOP DELL/TOSHIBA CORE i7
Nahitaji laptop iwe Dell au Toshiba
Core i7 processor
RAM min 4 gb
Naweza pata wapi kwa Dar?
Kama unauza nipe no ya simu.
Asanteni.
Ngugu wana jf nataka kufuga mbwa mkali kama wa polisi nisaidieni mawazo kwa anayejua, nitampata wapi, vyakula madawa pamoja na maelezo mengine yatakayo nisaidia. Natanguliza shukrani.
KWA WATUMIAJI WA FACEBOOK Like page ya TANZANIA NEWS AND SPORTS na upate breaking news za kitaifa na michezo. page hii inahitaji like za watanzania ili iwe promoted. like...
Shamba la ukubwa wa Ekari tatu(3) nauza kila Ekari kwa Shilingi Milioni moja na Nusu(1,500,000/=). Linapatika Wilaya ya Kibaha Mkoa wa Pwani barabara ya MorogoroRoad eneo la Visiga Seminary Kituo...
Nina biashara ya maduka mawili ya rejareja Mapipa karibu na Morogoro rd, nimedumu kwenye biashara kwa zaidi ya miaka 5 sasa ila mwaka huu biashara imeyumba kimtaji. Nahitaji financial partner...
Nauza wallets za kike za ngozi kwa jumla au rejareja ,za ukweli kutoka uk,Bei ya jumla 20000 kwa moja na rejareja 25000 kwa moja.napatikana ubungo.wallets ziko za rangi tofauti na design tofauti...
nahitaji laptop aina ya toshiba au hp yenye specification zifuatazo processor 2 dual core hdd 320 ram 2gb dvd writable wifi bluetooth nk bajeti lk 550,000/=
Nokia 2700classic ni balaa internet yake iko fasta inampaka opera min 7 ya ukwely inaingia mitandao yote chaji inakaa siku 4 kama haujaichezea,jamani simu natumia mwenyewe sema ni shida...
Vodafone ZTE Internet Pad. (ni zile device kama keyboard ambayo unaconnect na TV na kuitumia kama compyuta) Ipo Mpya inauzwa 100,000/= Tu.
Nipo dar, ila hata kwa wa mkoani naweza kukutumia huko...
wadau
simu hiyo nmeitumia miezi 3...ni nzuri ina watsup na apps nyingi..ni
touch screen na ina QWERTY buttons pia..internet speed saafi
meshindwa kuatach pics zake wakuu..but kwa aliye...
natafuta fincial/developers,kwani nina maeneo bunju B na nataka niyaendeleze,hati ipo tayari na eneo ni kubwa kabisa kiasi cha heka 8 ivi. for more information contact garchedwin@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.