Kibamba mbali sana shekhe wangu, huwezi kuisogeza angalau Kwa Msuguri?
Wandugu mbona kimya
Chumba kimoja na sebule pamoja na maliwato ndani umeme na maji vipo.kibamba dar es salaam kodi laki moja kwa mwezi.karibuni
Kibamba sehemu gani? Umbali toka barabarani je?
Kibamba kw mangi,mita 500 kutoka morogoro road.huitaji bodaboda kuja nyumbani.
miezi mingapi kodi unataka,pia umbali kutoka morogoro road?
We vipi, watu tuna nyumba zetu unatulazimisha kupanga?!!!
Mwana Mtoka Pabaya anataka nyumba, lkn kakwambia viko mbali hivyo vyumba vyako, sasa si uvilete Kimara kama alivyotaka, unadhani nani anataka kuishi km 678 kutoka City Centre kwenye nyumba ya kupanga.
Mbali nitakaa kama mjengo wangu sio kupanga halafu kuja job mabasi ma4, vilete Kimara soko lipo
kwa mangi unapita ccm??