kama upo mwanza nyamagana na unahitaji cm, nina nokia model ya hapo juu haija maliza mwezi nime fulia vibaya laini moja ina support aplication zote .nitafute kwa leo tu na kesho mwisho saa nne...
Pikipiki ndogo aina ya Suzuki inauzwa. Ni automatic na speed yake mwisho 60 KPH. Imeshasajiliwa na Bima yake imeshaisha. Inatembea vyema na betri yake imekufa inahitaji kubadilishwa.
Bei ni...
Number 1 authorize wholesaler / reseller so our price can not be the same as the retail price.Most retailers do get there order from us and resell, But we get all our products directly from there...
ina vyumba 3, sitting na dinning room, jiko. Ina fency ya ukuta na vyumba 2 vya walinzi au store, gate kubwa na car parking, umeme na maji. Ipo barabarani. Daladala zinafika. Bei na mawasiliano ni pm.
eneo lenye ukubwa wa square metre 6800 linakodishwa, eneo liko metre 400 toka mbezi high school pembezoni mwa barabara ya mpigi magohe, kuna nyumba kubwa inayofaa kwa ofisi au makazi, linafaa kwa...
Napangisha chumba maeneo ya mwenge near TRA opzt magorofa ya jeshi kodi 80,000 kwa mwezi including maji na umeme, ina maana maji na umeme hulipii, HAKUNA DALALI, nyumba ina vyumba vinne vyoo...
Mbali na kuongeza gharama maradufu za kutumia Internet kwa wanaotumia modem, ni wiki moja sasa mtandao huu umeelemewa kabisa, hata kufungua email inashindikana! yaani ni zaidi ya slow...
Nimepita ubungo asubuhi hii,pale wanapouza magazeti ,kuna vijana wanauza DVD za vituko Bungeni ,DVD hizo zimerekodiwa kutoka TBC wakati wa mijadala ya bunge.ajabu ni kuwa kwa sasa film za wasanii...
VIWANJA VIWILI VYENYE OFFER VINAPATIKANA MBEZI MASITE, SIO MBALI KUTOKA BOKO. KIWANJA CHA KWANZA NI Sqm 1273 Bei ni million 52. KIWANJA CHA PILE NI Sqm 1200 Bei ni million 50. CONTACTS...
Hey there!
Nahitaji kununua suzuki escudo, iwe kwenye hali nzuri, lakini bei nzuri pia
Mwenye nayo keep in touch with me through
0767659145 au 0787659145
alphonce@alphonce.net
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.