Habari wanandugu!
Naomba mnisaidie kwa anayejua bei ya madishi ya free to Air "ft 6 na ft 8" full set mpaka sasa ni shillingi ngapi?
huko mkoa gani mkuu ? Huku pwani dish ft 6 eurstar 85000 risiva 55000. lnbf 10000 deseq swich 3000. waya 8000
Habari wanandugu!
Naomba mnisaidie kwa anayejua bei ya madishi ya free to Air "ft 6 na ft 8" full set mpaka sasa ni shillingi ngapi?