Kiwanja kipo njiro arusha eneo la kwa masista block J kinaukubwa wa 15 kwa 25 na kina hati miliki (title deed), na udongo wa ardhi hiyo ni mwekundu. Bei ni shilingi miliono thelathini (30,000,000/=) kwa mawasiliano nipigie namba 0768- 91-36-94
Hivi Njiro ni kama maeneo gani kwa Dar?