Wamasai wako hatarini kufukuzwa kwenye maeneo yao ili kuwapatia wawindaji wageni. Hii hali haikubaliki. Tuungane na jumuia ya kimataifa kumuandikia Kikwete ujumbe kwamba hatukubaliani na jambo...
salama jamani,
nauza blackberry curve 9300 kwa shilingi 150,000/=
ipo kwenye hali ya kuridhisha,
kama unahitaji kufanya biashara nami
0714 021 078
tafadhali
Sihitaji udalali...kama wewe ni dalali ukubali pesa ya maelewano na wala si kodi ya mwezi. Usawa mgumu...!!! Upatikanaji wa maji wa kutoshabitakuwa kitu nzuri pia....
Ata maeneonya mwengent wont...
Nimesikia kuwa kuna watu wanatengeneza mishumaa ambayo ina uwezo wa kufukuza mbu. Naomba mwenye taarifa zozote kuhusiana na suala hilo anijuze. Ningependa kuinunua ili nijaribu, je, inapatikana wapi?
It is new in its box, screen protector, leather case and two years samsung warant. price is only tsh 780,000/= or exchange with brand new hp or dell laptop with the following...
Wapendwa natakuagiza gari moja kati ya hayo please naombeni ushauri juu ya tofauti zao coz mi nashindwa kutofautisha naona ziko sawa zote kuanzia cc hadi body structure Yao na vipi kuhusu ushuru...
Wakuu, nahitaji fremu ya biashara maeneo ya Tegeta au njia panda ya Wazo.
Si lazima chumba kiwe kikubwa sana lakini pia kisiwe kidogo sana. Sehemu isiwe imejificha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.