Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ni used under good condition it goes for 350000..anyone serious in need contact me thru 0719004668
0 Reactions
0 Replies
867 Views
mwenye ipad2 naomba anitafute for business
0 Reactions
1 Replies
776 Views
Iwe haijachoka sana,ram kubwa na uwezo wa kutunza chaji,ikiwa mwanza itakuwa vizuri zaidi,mwenye nayo nicheki kwa pm
0 Reactions
11 Replies
3K Views
nokia e72 bei poa 170 tu....ipo poa tu.,mawacliano.0767879784
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wamasai wako hatarini kufukuzwa kwenye maeneo yao ili kuwapatia wawindaji wageni. Hii hali haikubaliki. Tuungane na jumuia ya kimataifa kumuandikia Kikwete ujumbe kwamba hatukubaliani na jambo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
salama jamani, nauza blackberry curve 9300 kwa shilingi 150,000/= ipo kwenye hali ya kuridhisha, kama unahitaji kufanya biashara nami 0714 021 078 tafadhali
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Sihitaji udalali...kama wewe ni dalali ukubali pesa ya maelewano na wala si kodi ya mwezi. Usawa mgumu...!!! Upatikanaji wa maji wa kutoshabitakuwa kitu nzuri pia.... Ata maeneonya mwengent wont...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza Samsung galaxy tab 2 - 10.1,32GB. Brand new...kitu na box. Nataka tsh 850,000 tu. Nenda kwenye google kisha itathimini kwa macho yako. Kitu Original...Nipigie 0773 216 277
0 Reactions
0 Replies
999 Views
jaman nna laki 8 na nusu nahitaji piki piki nipo mbeya tuwasiliane kwa namba 0769805194
0 Reactions
0 Replies
2K Views
jaman kuna mdogo wangu anahitaji cm aina ya blackberry bold kwa laki na 20000 kama ipo ni pm 2!
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Only serious buyers please. Call or SMS, number +255 767999345. The price is Tshs 6 million only, negotiable
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimesikia kuwa kuna watu wanatengeneza mishumaa ambayo ina uwezo wa kufukuza mbu. Naomba mwenye taarifa zozote kuhusiana na suala hilo anijuze. Ningependa kuinunua ili nijaribu, je, inapatikana wapi?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwenye engine au anaye jua wapi nitapata hiyo engine na bei yake Naomba msaada. Nawasilisha
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Husika nakichwa chahabari hapo juu bajeti yangu nikama ifutayo Pkpk ya kichina sanlg 150cc isoyo zidi miezi 5 tokea inunuliwe laki nane 800,000 nanua Pkpk yakindi bajajibox I50 isiyo zidi miez...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
It is new in its box, screen protector, leather case and two years samsung warant. price is only tsh 780,000/= or exchange with brand new hp or dell laptop with the following...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza blackberry ya tochi..sh.120,000/=,,,,tuwasiliane 0712038763,ipo dar.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nauza, PRADO VX bei ni US dollars 95000, jipya, halijaendeshwa sana.
0 Reactions
90 Replies
9K Views
Wapendwa natakuagiza gari moja kati ya hayo please naombeni ushauri juu ya tofauti zao coz mi nashindwa kutofautisha naona ziko sawa zote kuanzia cc hadi body structure Yao na vipi kuhusu ushuru...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
natafuta aina hii ya gari as per attachment below, let me know if available through kizi57@yahoo.co.uk, send me photos and details
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Wakuu, nahitaji fremu ya biashara maeneo ya Tegeta au njia panda ya Wazo. Si lazima chumba kiwe kikubwa sana lakini pia kisiwe kidogo sana. Sehemu isiwe imejificha.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom