habari watanzania nahitaj mkopo wa haraka sana wa milioni moja dhamana yangu ni gari nina kadi na mkataba wa mauzo yan nilipolinunua.
nenda kampuni inaitwa EFL
wako sinza mapambano.. utapata fasta. ila unatakiwa urudishe na riba ya
ths 300,000 kwa muda wa miezi 3.
Gari aina gani?
ni PM tuongeetoyota gaia