Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana JF,Kuna viwanja vinauzwa,kimoja kipo ''KITUNDA-KIVULE'' kipo karibu na barabara kina ukubwa wa hatua za ''UREFU-40 na UPANA-30''.Na kingine kipo karibu kidogo na tegeta maeneo ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nishapata ajira nzuri yenye mshahara mzuri so tayari nimeshapata chumba sinza...ahsanten
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kama kuna mtu mwenye kuuza laptop naomba tuwasiliane kwa sababu ninaihitaji kwa sasa. Nahitaji laptop isiyozidi laki 5 plz mwenye kuuza tuwasiliane 0684036259
0 Reactions
0 Replies
645 Views
NYUMBA YA KWANZA: IPO AFRIKANA 3 Bed rooms Dining room Seating room Ina fence Maji Umeme Tiles Madirisha ya aluminium Parking Kodi: 500,000/= kwa mwezi na inatakiwa ya mwaka mzima. NYUMBA...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Msaada kwenu wakuu ,nahitaji kujua duka gani hapa dar nitapata Samsung galax 3 Original Brand New,kwa bei rahisi hapa Dar.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimefuga kuku wengi wa kienyeji, ningependa kupata soko la uhakika hasa miji ya Dar, Moro na Dom.Naweza kukuletea mahali ulipo kwa order ya kuku wengi. Kuku wangu ni wenye afya na wamechanjwa...
0 Reactions
1 Replies
959 Views
Natafuta mtu mwaminifu wa kufanya nae biashara ya samaki kutoka sehemu yoyote ile ya tanzania japo nasikia kwa Dar ndio kuna soko zuri la samaki. Mi nipo mwanza/simiyu, ivyo mtu yeyote aliyetayari...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
You might be; experiencing a dark chapter right now,but it's not your whole book...tired of juggling family and work commitments..In need of vacation, needing more time with family,extra...
0 Reactions
4 Replies
896 Views
Kwa yeyote anaye hitaji till ya Airtel nipo Ifakara bei haipungui 200,000/= kwa ambaye anata ani pm kwa maelezo "ukitaka pesa toa pesa"
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Gari aina ya RAV 4 inauzwa, ipo katika hali nzuri kama inavyoonekana kwenye picha. Ipo Dar es Salaam, asking price 17.5Million, kama upo serious maongezi yanakubalika. Kwa Seroius buyer tu, Tel...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Waungwana hii gari Alteza Gita inafaa kwa matumizi ya kawaida na safari ndefu kidogo 1980cc! Help me waungwana....
0 Reactions
33 Replies
8K Views
kiwanja kinauzwa maeneo ya kibada ni mahala pazuri na ni hatua chache kufika barabara kubwa ipitayo madala dala...... ina hati na plan ya nyumba pia ipo..... kwa yeyote atakayehitaji email me in...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
call me natafuta gari aina ya vtz ya bei poa plz
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna computer aina ya ''DELL OPTIPLEX-GX 280series'' nyeusi,ipo complety pamoja na monitor yake na aina tatizo,inauzwa kwa ''230,000TZS'',kwa atakayeitaji anicheki kwenye ''0712 269097''.
0 Reactions
1 Replies
899 Views
anayeuza tablet za samsung me naitaka syo mteja mwny longolongo swala tuelewane, weka bei hapa au ni pm. NARUDIA TENA MIMI SYO MTEJA MWNY LONGOLONGO
0 Reactions
3 Replies
878 Views
Nahitaji mtu wa kunicholea ramani aji inbox tukubaliane
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana JF,Kuna viwanja vinauzwa,kimoja kipo ''KITUNDA-KIVULE'' kipo karibu na barabara kina ukubwa wa hatua za ''UREFU-40 na UPANA-30''.Na kingine kipo karibu kidogo na tegeta maeneo ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
MEGAPIX VIDEO PRODUCTION ni kampuni iliyokuwa inajihusisha zaidi na utengenezaji wa matangazo kwa ajili ya makampuni mengine. kwa sasa MEGAPIX imejitenga na imeamua kufanya kazi peke yake hivyo...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hard Disk-80gb,Ram-512mb,pentium 4.Haijawahi kuwa upgraded.
0 Reactions
0 Replies
628 Views
Salamu wangwana wa JF! natafuta bin la kuhifadhia samaki kwa barafu. liwe na ukubwa wa mita moja au zaidi upana na urefu na kifuniko chake. asanteni.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom