Habari wana JF,Kuna viwanja vinauzwa,kimoja kipo ''KITUNDA-KIVULE'' kipo karibu na barabara kina ukubwa wa hatua za ''UREFU-40 na UPANA-30''.Na kingine kipo karibu kidogo na tegeta maeneo ya...
kama kuna mtu mwenye kuuza laptop naomba tuwasiliane kwa sababu ninaihitaji kwa sasa. Nahitaji laptop isiyozidi laki 5 plz mwenye kuuza tuwasiliane 0684036259
NYUMBA YA KWANZA: IPO AFRIKANA
3 Bed rooms
Dining room
Seating room
Ina fence
Maji
Umeme
Tiles
Madirisha ya aluminium
Parking
Kodi: 500,000/= kwa mwezi na inatakiwa ya mwaka mzima.
NYUMBA...
Nimefuga kuku wengi wa kienyeji, ningependa kupata soko la uhakika hasa miji ya Dar, Moro na Dom.Naweza kukuletea mahali ulipo kwa order ya kuku wengi. Kuku wangu ni wenye afya na wamechanjwa...
Natafuta mtu mwaminifu wa kufanya nae biashara ya samaki kutoka sehemu yoyote ile ya tanzania japo nasikia kwa Dar ndio kuna soko zuri la samaki. Mi nipo mwanza/simiyu, ivyo mtu yeyote aliyetayari...
You might be; experiencing a dark chapter right now,but it's not your whole book...tired of juggling family and work commitments..In need of vacation, needing more time with family,extra...
Gari aina ya RAV 4 inauzwa, ipo katika hali nzuri kama inavyoonekana kwenye picha.
Ipo Dar es Salaam, asking price 17.5Million, kama upo serious maongezi yanakubalika.
Kwa Seroius buyer tu, Tel...
kiwanja kinauzwa maeneo ya kibada ni mahala pazuri na ni hatua chache kufika barabara kubwa ipitayo madala dala...... ina hati na plan ya nyumba pia ipo..... kwa yeyote atakayehitaji email me in...
Kuna computer aina ya ''DELL OPTIPLEX-GX 280series'' nyeusi,ipo complety pamoja na monitor yake na aina tatizo,inauzwa kwa ''230,000TZS'',kwa atakayeitaji anicheki kwenye ''0712 269097''.
Habari wana JF,Kuna viwanja vinauzwa,kimoja kipo ''KITUNDA-KIVULE'' kipo karibu na barabara kina ukubwa wa hatua za ''UREFU-40 na UPANA-30''.Na kingine kipo karibu kidogo na tegeta maeneo ya...
MEGAPIX VIDEO PRODUCTION ni kampuni iliyokuwa inajihusisha zaidi na utengenezaji wa matangazo kwa ajili ya makampuni mengine.
kwa sasa MEGAPIX imejitenga na imeamua kufanya kazi peke yake hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.