Nyumba nzuri ya vyumba viwili vya kulala (kimoja master), sitting room, jiko na choo. Iwe Imezungushiwa uzio wa ukuta.Kuna parking ya kutosha magari walau mawil. Kodi 350,000.Ikiwa unayo piga...
Kuna laptop aina ya hp hdd 500gb,ram 2gb,core I 3.toshiba laptop 300gb hdd,ram 2gb.zote mbili kwa 1.5m
Tablet aina ya super touch gps-s717 android kwa sh 200,000/=
Namba:0713656256
Habari zenu wana JF.
Nina mashine za kufanyia marekebisho ya barabara (Road works machine) na mashine zingine za ujenzi wa majumba, ninatafuta fundi mzuri na mwaminifu atakayeweza kuzifanyia...
Salaam Stahili ziwafikie nyote!
Rejea mada tajwa hapo juu,ninatafu nyumba yenye sifa zifuatazo;-
-Chumba 1 na sebule/chumba kimoja kikubwa self-contained
-ada iwe 50,000/ kila chumba malipo...
Kiwanja kinauzwa kwa bei poa, kipo Shinyanga Mjini maeneo ya Bushushu kuelekea Old Shinyanga.Kinatazamana na Mamlaka ya Maji ya KASHWASA.
Sifa za kiwanja ni kama zifuatazo:
(1) Ni kikubwa kwa...
SHAMBA LINAUZWA
Shamba linauzwa lina heka 4 na bei Tshs milioni 4.Shamba lipo MKURANGA na lipo ktk eneo zuri na kuna bonde na upo mto mdogo unapita karibu na hapo ila halijalimwa kitu.Eneo ni...
Kiwanja kiko mbezi msakuzi ukubwa mita 53 kwa 33. Eneo ni karibu na kwa asenga,kisabo shopping center na fm lodge. Bei ni sh. Milioni 9 tu. Hatakiwi dalali. Anayehitaji awasiliane na muuzaji...
KIWANJA KINAUZWA SHINYANGA MJINI BARABARA YA KUELEKEA OLD SHINYANGA
Kiwanja kinauzwa kwa bei poa, kipo Shinyanga Mjini maeneo ya Bushushu kuelekea Old Shinyanga.Kinatazamana na Mamlaka ya Maji...
Habari wanajamvi.
Naombeni msaada kwa wale wenye uzoefu. Kwa kiasi cha milioni 9, naweza kupata gari gani nzuri? Isiwe used kutoka kwa mtu hapa tz, bali imported.
Nilikuwa na mawazo, kujipatia...
ni mwalimu wa digrii Linguistics na Political S cience toka mwaka 2009 UDSM ..anatafuta kazi kwa masomo ya Language na GS kwa wanaohitaji tuwasiliane 0757244853 ama 0717522175
nakupatia toshiba tablet t100 ina wifi,usb cable,camera@movie
ukigoogle utaipata gb16,natmia cm ndo mana cjaweka picha.
Tubadilishane na kompyuta ila iwe inasoma cd,nimeamua ivo coz ninazo 2 na...
Dawa ya kuponya sehemu za siri Wanawake
Habari wanajamii,
Wanasema kizuri share na wenzio.
Ninauza dawa maalumu ya asili, kwa ajili ya wanawake wenye matatizo ya sehemu zao kutoa maji machafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.