nina kamera yangu samsung ST30 inakataa kuwa na mara chache ikiwaka inajizimazima yenyewe au screen inakua green sijaelewa tatizo ni nini haswa na uku niliko sizanikama kuna mafundi wa ukwel kwan...
We are keeping stock of:
Fleetguard filters for most engines of all large brands like Caterpillar, Liebherr, Komatsu, Hyundai, Scania, FAW, Mercedes, Perkins, Cummins, Toyota, Landrover etc...
Dawa ya kuponya sehemu za siri – Wanawake
Habari wanajamii,
Wanasema kizuri share na wenzio.
Ninauza dawa maalumu ya asili, kwa ajili ya wanawake wenye matatizo ya sehemu zao kutoa maji...
bajeti 100000
model either samsung galaxy pocket.....
huawei ideos
au yoyote itakayofaa kwa bei hiyo.
mteja anapatikana dar es salaam au mwanza.
alie interested anitajulishe tafadhali...
ni toshiba tablet T100,INA CAMERA YA MBELE NA NYUMA,WIFI,KIJISEHEMU CHA KUWEKA FLASH@HAPO UNAPATA MUVI KAMA KAWAIDA,INAKAA NA CHAJI MASAA 8,INACHUKUA MUVI NA KUPIGA PICHA..
***BEI LAKI 4...
Wakuu natafuta line ya tigo pesa ili kufungua duka la uwakala wa Tigo pesa. Kama kuna mtu anayo au anafahamu pa kuipata awasiliane nami kwa 0757005468.
Wewe ni mjasiriamali? Pata bata mzinga vifaranga wakubwa kwa wadogo pia bata bukini wanapatikana nao wakubwa kwa watoto number yangu 0757-662401 karibuni
Wana JF,
Naomba mwenye website za mitandao ambayo inauza gari second hand kwa dubai anirushie hapa. Nasikia gari zipo cheap sana kwa dubai kama ilivyo Japan.
Thanks alot.
Viwanja viwili vinauzwa, vipo bunju na vyote vina hati..!! Ni vizuri na vipo karibu na miundombinu
1. sq meter 1525 sh 55 million
2. sq meter 1406 sh 50 million
Bei inapungua kidogo..!!
If your...
Nyumba inauzwa, ina Maduka matatu yanayofanya biashara ,inafaa kwa ujenzi wa Ghorofa kutokana Sheria za Mamlaka ya Ustawishaji wa Makao Makuu (CDA)
Nyumba hii ipo karibu na Banki mpya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.