Mwenye kuhitaji pressure washer za kukodisha tuwasiliane tafadhali,nina karcher k2 nakodisha kila moja kwa elfu 60 (7 days).Naweza pia kumkodidha mtu akafanyia biashara then akawa analipa...
Kiwanja kinauzwa maeneo ya kinyerezi dar, kina ukubwa wa 46*23 ni kikubwa na kipo barabarani, bei ni milioni 35 mazungumzo yapo. Pia nina vingine vingi pembezoni mwa jiji vya kuanzia milioni 5 na...
FOR THOSE PEOPLE WITH HTC HD2,
NOW U CAN GET ANDROID 4.1
AND LET YOUR PHONE WORK WITH TIGO PESA, M-PESA AND OTHER DIALOG SERVICES
CONTACTS
0715353108 OR 0756144060
..::Kariakoo Online Fundi...
kiukweli na wala sitanii kwa yeyote ambaye anauza laptop naomba tuwasiliane na anisaidie kuipata hiyo laptop,laptop iwe nzuri na yenye webcam. Kwa mawasiliano zaidi napatikana kwenye namba 0684036259
Bei ndo hiyo hapo TZS 550,000/= na simu inakuja na charger yake na usb cable. Simu haina scratch hata kidogo na wala haina shida yoyote.
Contact: 0655-003510...
naitwa ally from udsm nauza simu aina ya sumsung galax ace s5830i good condition ni laki 2.20 tu ,ina flash and 5mplx camera.pia nna black berry curve 4 9320 safi ni laki 2 pia kuna galax...
Wasalam
Tunaendesha biashara ya Taxi ( Airport pick up, drop off) hapa Dar na Nairobi, Kenya ukihitaji huduma zetu tupigie 0787 627437 au Nairobi +254 701420107 na tutakutoza bei nafuu.
Hutokea wakati mwingine! Itende High school imetoa offer ya Punguzo la ADA KWA WANAFUNZI WANAOTAKA KUHAMIA KIDATO CHA 6, NA KUJIUNGA FORM 5 JULAI 2013.
ADA NI SH 250,000 KUTWA (BADALA YA SH...
Habari zenu
Naomba kuuliza kwa anayefahamu makampuni au sehemu ambapo wanauza au kutengeneza vifaa vya madini kwa ajili ya wachimbaji wadogo wadogo, sana sana kama nikipata machine ya ku process...
Soma Na Upate Computer Bure!!!
Professional Computer User Certificate (PCUC)
This is integrated certificate that covers at least every important angle of ICT in order to be a real Computer...
Ndugu wa JF, niko serious natafuta gari Toyota Gx115 au Gx110 au altezza ya mwaka 2002 or later. Bei isiyozidi 12.5M. mwenye kuwa na taarifa za uhakika na hayo magari anipatie contact person au ni PM
Toyota Verossa Ya Mwaka 2001
Price: TSH 11,000,000 - (11M)
Kilometers: 87000
Four Wheel Drive
Transmission: Automatic
Mahali Lilipo: Dar Es Salaam-
Gari iko kwenye hali nzuri, Ina AC,
Airbargs...
brand new ipad mini 32GB TZS 1.15m
Brand new Samsung Galaxy s4 black TZS 1.5m
Brand new white iphone 5 TZS 1.2m
Samsung Galaxy s3 white TZS 800,000
Blackberry z10 black TZS 1.1m
Iphone 4s white...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.