Msaada tafadhali,Nataka kufungua Butcher....

Msaada tafadhali,Nataka kufungua Butcher....

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2010
Posts
7,994
Reaction score
5,233
Naomba kwa mtu yeyote mwenye kujua process anieleweshe ikiwamo Licence fees na mengineyo.Na pia kama kuna yeyote mwenye sehemu ya kupangisha(inayofaa kwa shughuli hiyo) kati ya Kimara au Tegeta tuwasiliane kwa majadiliano zaidi..
 
Back
Top Bottom