Mshumaaa
Senior Member
- Sep 26, 2012
- 156
- 17
Ni Amplifire za kurushia picha kwenye
cable. Nilishawahi andika hapa kuna
baadhi wakanishauli nitumie faiba
kuwaomba ufafanuzi zaidi kuhusu hiyo
faiba wakaingia mitini. Njia
nnayoielewa vizuri ni hiyo ya kutumia Amlifire nahitaji powerful amplifire
mwenye kufahamu zilipo ani PM.
Napokea changamoto kutoka kwa
wadau. Natanguliza shukrani.
cable. Nilishawahi andika hapa kuna
baadhi wakanishauli nitumie faiba
kuwaomba ufafanuzi zaidi kuhusu hiyo
faiba wakaingia mitini. Njia
nnayoielewa vizuri ni hiyo ya kutumia Amlifire nahitaji powerful amplifire
mwenye kufahamu zilipo ani PM.
Napokea changamoto kutoka kwa
wadau. Natanguliza shukrani.