mkuu ni mahali pazuri kwa biashara,ni eneo linaloendelezwa kwa kasi sana,hasa baada ya klabu ya yanga kuanza mpango wa kujenga uwanja wa kisasa,pia ni eneo la biashara. karibu kama unahitaji tuongee...funguka kidogo kiongozi tujue huo mjengo ukoje...
Ipo karibu na klabu ya yanga,bei Mil 600. Ina hati na unaruhusiwa kuhakiki. Siriasi buyers wani PM. Kama we ni dalali nijulishe tuelewane kabla ya biashara kufanyika.Maoengezi yapo.
Sokoni.