2009 Yamaha XT250 Dual Sport.
White, Blue and Black.
Less than 1000 miles.
As good as new.
imported from USA.
Price Tshs 7.5 Million Or Best Offer.
Contact 0656607933 for price and...
Nauza Used Desktop Computers Nne aina ya Dell Optiplex 620
Zipo 4 na ni kila moja ni complete pamoja na original screen, speaker, mouse na keyboard.
Zinatumia Windows XP.
Kwa specifications...
nahtaji desktop(full)..iwe na monitor flat screen..ni ubungo dms contact 0768497592.
Kama unayo na unauza toa varryfication za computer yako then tufanye biasha. Price 200,000 inaweza kupungua au...
Kiwanja
kikubwa kizuri cha kujengeachenye hati kinauzwa maeneo ya Kibada kwa
shillingi mil. 25 na maelewano. Kwa anaehitaji tafadhali ani PM na kama
kuna madalali, tafadhali tuwasiliane pia.
Ipo karibu na klabu ya yanga,bei Mil 600. Ina hati na unaruhusiwa kuhakiki. Siriasi buyers wani PM. Kama we ni dalali nijulishe tuelewane kabla ya biashara kufanyika.Maoengezi yapo.
Sokoni.
Naomba kwa mtu yeyote mwenye kujua process anieleweshe ikiwamo Licence fees na mengineyo.Na pia kama kuna yeyote mwenye sehemu ya kupangisha(inayofaa kwa shughuli hiyo) kati ya Kimara au Tegeta...
Ni Amplifire za kurushia picha kwenye
cable. Nilishawahi andika hapa kuna
baadhi wakanishauli nitumie faiba
kuwaomba ufafanuzi zaidi kuhusu hiyo
faiba wakaingia mitini. Njia
nnayoielewa...
kiwanja kizuri mita 40 kwa 42
kipo visiga madafu-kama unatoka dar telemka madafu, upande huohuo.
kipo umbali wa km 1 na 1/4, ukishavuka nguzo kuu za umeme; grid ya taifa
umeme upo karibu na maji...
NI SITE INAYOENDESHWA NA MNTAZANIA NA PIA CREDIT ZA LGTOOL ZINAPATIKANA KWA MAELEZO ZAIDI TUWASILIANE KWA gsmsolution2009@hotmail.com AU PIGA SIMU NAMBA 0774439364
Maeneo kuanzia shekilango hadi kimara mwisho. Isizidi 3kms kutoka main road. iwe na parking walau ya gari moja. Ikiwa ya kujitegemea itafaa zaidi lakini si lazima sana.
Hii ni serious sana...
The Senior Jr. General Supplies ni kampuni ambayo imejikita katika uingiaji na uuzaji wa magari yaliyotumika na mapya (used and new cars) toka sehemu mbali mbali duniani hususani toka nchini Japan...
Specifications: type ni acer,ram 2gb,hard disc 320gb,imenunuliwa mpya na kutumika miezi miwili na nusu tu,bei yake ni laki nne na nusu tu!,anayehtaj anitext kwa 0753584428,au PM,mazungumzo yapo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.