TZ biashara
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 523
- 107
SHAMBA LINAUZWA
Shamba linauzwa lina heka 4 na bei Tshs milioni 4.Shamba lipo MKURANGA na lipo ktk eneo zuri na kuna bonde na upo mto mdogo unapita karibu na hapo ila halijalimwa kitu.Eneo ni zuri na kuna rutba nzuri sana kwa kupandisha mbaazi,matikiti,mihogo,migomba ya ndizi na vitu vingi hata mpunga.Barabara inapitika bila wasiwasi hata kwa gari ndogo inafika.Kwa muhitaji unaweza kutuma ujumbe humu na tukaweza kuelekezana vizuri zaidi.Sababu kubwa ya kuliuza ni matatizo ya kipesa.Kwa muhitaji tafadhali wasiliana na HABIBU 0717810318
Shamba linauzwa lina heka 4 na bei Tshs milioni 4.Shamba lipo MKURANGA na lipo ktk eneo zuri na kuna bonde na upo mto mdogo unapita karibu na hapo ila halijalimwa kitu.Eneo ni zuri na kuna rutba nzuri sana kwa kupandisha mbaazi,matikiti,mihogo,migomba ya ndizi na vitu vingi hata mpunga.Barabara inapitika bila wasiwasi hata kwa gari ndogo inafika.Kwa muhitaji unaweza kutuma ujumbe humu na tukaweza kuelekezana vizuri zaidi.Sababu kubwa ya kuliuza ni matatizo ya kipesa.Kwa muhitaji tafadhali wasiliana na HABIBU 0717810318