Naitafuta wanunuzi wa madini aina ya kasheshe

Naitafuta wanunuzi wa madini aina ya kasheshe

Mawimba

Senior Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
182
Reaction score
176
Wanajanvi naombeni msaada kwenu nina madini aina ya kasheshe lakin sijui
soko nitapata wapi wanunuzi wa madini ya Aina hii hivyo naleta kwenu wanajamvi
plz... plz.... nisaidieni
waweza nicheki kwa namba
0786466056
 
Unamaanisha madini aina ya matatizo au?
Wanajanvi naombeni msaada kwenu nina madini aina ya kasheshe lakin sijui
soko nitapata wapi wanunuzi wa madini ya Aina hii hivyo naleta kwenu wanajamvi
plz... plz.... nisaidieni
waweza nicheki kwa namba
0786466056
 
Wanajanvi naombeni msaada kwenu nina madini aina ya kasheshe lakin sijui
soko nitapata wapi wanunuzi wa madini ya Aina hii hivyo naleta kwenu wanajamvi
plz... plz.... nisaidieni
waweza nicheki kwa namba
0786466056
madini gani hayo tena? hayana jina la ki-englishi? weka picha!
 
jamani madini ya kasheshe yanapatikana pamoja na dhaabu yenyewe yanaaaza ndipo dhaabu inafuta yapo meusi mno
hapo vipi mmenipata
 
unabidha unatafuta soko, acha kulalamika! kwa dizaini hiyo hata mnunuzi atakulalia sana. tangaza bidha na sio njaa yako!

Cha kufanya, ielezee bidhaa, wingi wake, matumizi yako (local and international) na bei yako (if possible) then watu watajua waanzie wapi kukusaidia
 
yanatumika kufanyia nini?

Mi mwenyewe ndo nayaskia leo, kutokana na jina lake nadhani yatakuwa yanatumika kuanzisha VARANGATI yaani kukinukisha....
 
............... au yanatumika kutengeneza hirizi.
 
jamani madini ya kasheshe yanapatikana pamoja na dhaabu yenyewe yanaaaza ndipo dhaabu inafuta yapo meusi mno
hapo vipi mmenipata

Dhaabu ni madini gani mkuu na yanapatikana wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom