Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

CAM STORE - MITUPIO- MABARO YA MTUMBA Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kwamba tumeanza rasmi biashara za nguo na viatu vya mitumba jumla na rejareja, tunatuma mikoani Mawasiliano 0762212623...
2 Reactions
5 Replies
655 Views
Mwenye anauza brevis yake anifate DM......sio za madalali sijui stori za gari ya mdada mara mzungu anarudi kwao...
5 Reactions
10 Replies
822 Views
MWALIMU CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE - HUDUMA YA MANA - SEMINA, MOSHI, KILIMANJARO TAREHE 16 MPAKA TAREHE 20 FEBRUARI 2022. Bwana Yesu Asifiwe! HUDUMA YA MANA - MANA MINISTRY - Mwalimu...
6 Reactions
8 Replies
4K Views
Nahtaji mashina ya ps4 used, ikiwa mpya pia tutazungumza kama bei itakua rafiki kwangu. Kwa aliyenayo nje ya Mwanza, nalipa baada ya kupokea machine pia isiwe na changamoto yoyote kuanzia pad...
2 Reactions
4 Replies
703 Views
Habari wadau. Appartment ya vyumba viwili vya kulala. Sebule jiko na choo inapangishwa maeneo ya tabata kisukulu. Ni 3km ukitokea Mandela Road EPZA ama TFDA office ubungo external. 1. Nyumba...
0 Reactions
2 Replies
895 Views
Habari Wakuu, Kuna Dell Desktop all in one 6pc @800,000/=. Kindly Mkuu
1 Reactions
2 Replies
607 Views
“Generally, real estate is cyclical. You have to buy in a way that lets you afford the cycles. And you have to know where you are in the cycle.” Charles Brown Kukaa na kusubiri soko ya ardhi na...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza gari yangu binafsi ninayoitumia kila siku ,gari ni nzima haina shida yoyote Kama inavyoonekana kwenye picha, karibu ukihitaji kukagua nipigie 0685587887
0 Reactions
0 Replies
525 Views
Wadau nawakaribisha mashine za kukamua na kuchuja juisi ya miwa Ni imara na bora na zinatumia umeme mdogo sana Tunaziuza kwa 1350000 tu ewe mjasiriamali ongeza kipato chako kwa hii mashine...
1 Reactions
5 Replies
900 Views
Hello wana jamvi unahitaji mashine ya kutengeneza ice lolly wengi mtaani tumezoea tunaziita lambalamba utazipata kwetu na tunakupa ushauri bureee, Hizi mashine ni nzuri sana hasa hiki kipindi cha...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Chumba na sebule inapangishwa KWA ELFU 25 TU. IGOMA MTAA WA KAKEBE. UMEME NA MAJI VIPO. DALALI 0683011003
0 Reactions
6 Replies
991 Views
Lile kusanyiko Kubwa la aina yake lililowahi kutokea nchini mwanzoni mwa utawala wa B.W. Mkapa June 1996 (miaka 20 iliyopita) leo lipo mjini Mwanza ambapo mwinjilisti wa kimataifa R. Bonnke...
4 Reactions
41 Replies
8K Views
ONSALE[emoji593][emoji593] 2018 FORD RANGER Engine Capacity Cc: 3200 Mileage: 70,000 Model Number: 3.2L Fuel: DIESEL Colour : Grey SEAT CAPACITY 6 Music systems Dvd player Rim sport Good...
0 Reactions
1 Replies
662 Views
Dell vostro i3 3400 kwa 1.2M Lipia kwa Installment, 25% kwa mara ya kwanza kiasi kinacho baki utalipia ndani ya miezi 3 Maelezo zaidi, picha manunuzi click link hapa...
0 Reactions
0 Replies
579 Views
Habari wakuu, Natafuta saluni ya kiume ya kununua hapa Dar es salaam.Au kama kuna mtu mwenye frem inayofaa kwa biashara ya saloon anijuze. Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
2 Reactions
6 Replies
769 Views
Wakazi wa Lushoto nipo wilayani kwenye nipo Lushoto mjini stand kuu ya Magari hapa ndo nimeingia muda si mrefu Shida yangu bhana natafuta hostel yoyote ya kufikia na kukaa ndani ya siku kadhaa...
1 Reactions
4 Replies
898 Views
Mwenye uhitaji wa king'amuzi cha Canal plus anicheck Bei full set ni Tsh.135,000 Kununua kifurushi kwa mwezi Tsh.50,000 Kinaonesha League za -UEFA -UEROPA -PRIMER LEAGUE -BUNDASLIGA -SPAIN...
9 Reactions
99 Replies
21K Views
Nahitaji wadada wawili kwa ajili ya kuhudumia kwenye mgahawa na kusaidia kazi ndogo ndogo Awe ana uzoefu na biashara ya mgahawa anaweza kuserve, usafi. Akiwa anakaa mkoa wa Pwani Kibaha ts...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Tunatoa huduma ya kukata miti na kuchana mbao kwa kutumia mashine (CHAINSAW). TUNAPATIKANA MBEZI MWISHO Kwa mawasiliano :0758700852
0 Reactions
37 Replies
6K Views
Kuna mzee anauza shamba la mitiki lenye ukubwa wa hekali 7. Mitiki imekuwa imefikia ukubwa kama nguzo ya umeme kwa unene. Mzee anahitaji mil 22 tu, umri umemtupa mkono anaona ni bora ale...
0 Reactions
3 Replies
909 Views
Back
Top Bottom