Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kama uko Tabora na unauza tv inch 32 niambie nataka ilio tumika nataka kwa leo au kesho nitajie bei na aina ya tv na sehemu ulipo na pia kama una picha itapendeza.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtambo mdogo wa kuua Mbu pamoja na Dawa zake ⚕ Hakuna moshi, hakuna harufu mbaya ⚡️ "Kwa Tsh 11,000 utapata -Mashine -Dawa Box 1 -Free Delivery 🚚 Price 11000 Tsh ☎️ WhatsApp...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa wale ambao Computer Laptop au Computer Desktop zao ni nzito mpaka unahisi kero usijali. Mzigo huu hapa SSD SATA III GB 512 kwa Tsh 80,000/= tu unafurahia maisha kwa Computer yako kuwa chap...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mali bado mpyaa zina mabox yake na documents zake hakuna ujanja janja, sababu za kuuza ni matatizo yanayohitaji hela ya haraka Home theater Og ya LG WATS 1000 Ina spika 4 na mja ndogo mziki...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kazi nzuri za Aluminium tuwasiliane maboss zangu support yko muhimu Sana kwetu. Tuko Mbezi Makabe, wale wa mikoani tunafika pia pia Bei zetu ni nafuu. Kwa mawasiliano zaidi, tuwasiliane kwa...
0 Reactions
0 Replies
449 Views
Kama unahitaji kufanyiwa full house wiring, motor rewinding, solar panel installation, na huduma zote za umeme. Wacheki [emoji117][emoji117] Azizi Umeme wanapatikana Ubungo external, uzuri hawa...
0 Reactions
3 Replies
483 Views
Habari, Natafuta CPU ya computer desktop nina sh 50000 nipo Dar hata kama ni zile model za zamani ilimradi iwe inafanya kazi. Ni PM specification
1 Reactions
3 Replies
613 Views
MOLAS Autohub ni duka la rejareja la ndani ambalo huhudumia jamii ya karibu kuhusu vipuri na pia kutoa huduma za kuagiza mtandaoni. Tuna utaalam wa kuuza Sehemu za Magari za Uropa kuanzia Mwili...
1 Reactions
1 Replies
691 Views
Habari wana jamii napenda kuwatangazia pia ,japo wengi mnanijuwa kwa kuuza dagaa, pia nimewaongezea kuwauzia vumbi la dagaa kama chakula cha mifugo. NAPATIKANA MWANZA-KIRUMBA-MWALONI...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Umuofia kwenu! Shamba lenye ukubwa ya Ekari 100 Linauzwa.Shamba lipo Kijiji Cha Kwandugwa.Umbali wa Km 14 toka Mkata Centre. Shamba ni pori.Halijawahi kusafishwa.Linauzwa kwa Tsh 18M.Mazungumzo...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari ya leo humu, tunapenda kuwatangazia jamii kwa ujumla tunauza maziwa ya ng'ombe ambao tunakamua wenyewe. Kwa waliopo ndani ya jiji la Daslam basi kuanzia lita tano (5) tunakuletea mpaka...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari zenu wadau. Nauza shamba lenye ukubwa wa heka 5. Shamba lipo Bagamoyo maeneo ya makurunge, Kama unatoka Dar kupitia bunju ukifika pale kwenye mzunguko (round about) ya kuingia mji wa...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
𝙊𝙁𝘼𝘼 𝙊𝙁𝘼𝘼 (𝘼𝙉𝙕𝘼 𝙆𝙒𝘼 𝙆𝙐𝙇𝙄𝙋𝙄𝘼 153,000 𝙏𝙐 𝙆𝙄𝙇𝘼 𝙈𝙒𝙀𝙕𝙄 𝙉𝘿𝘼𝙉𝙄 𝙔𝘼 𝙈𝙄𝙀𝙕𝙄 24)[emoji625] [emoji1621]𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩 𝙎𝙤𝙡𝙪𝙩𝙞𝙤𝙣 𝘾𝙤𝙢𝙥𝙖𝙣𝙮 𝙠𝙖𝙢𝙖 𝙞𝙡𝙞𝙫𝙮𝙤 𝙖𝙙𝙖 𝙩𝙪𝙢𝙚𝙬𝙖𝙡𝙚𝙩𝙚𝙖 𝙢𝙧𝙖𝙙𝙞 𝙝𝙪𝙪 𝙬𝙖 𝙤𝙛𝙖𝙖 𝙠𝙖𝙗𝙞𝙨𝙖𝙖 𝙣𝙙𝙖𝙣𝙞 𝙮𝙖 𝙢𝙞𝙨𝙞𝙢𝙪 𝙝𝙞𝙞 𝙮𝙖...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Jodam-supply utapata kampuni yoyote ya tv kwa bei ya nafuu ,ambapo sehemu nyingine huwezi kupata Unaweza kulipia kidogo kidogo bidhaa zetu utapewa mkataba maalumu Mfano Tv inchi 32 aina ya...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Unpainted Genuine enginee Like new Call 0745363477 Location SALASALA BEI 13.8 MILLION MAONGEZI YAPO KIDOGO
0 Reactions
0 Replies
563 Views
OFFER OFFER 🔴MONEY COUNTER MACHINE / MASHINE YA KUHESABIA HELA . . 🔺Usipoteze muda mwingi kuhesabu pesa, Wateja wengi wanapenda fast & excellent services, epuka kupoteza pesa kwa kuchanganya...
4 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari wakuu,nahitaji frame nitakayo weza kuweka biashara ya nguo za kike na za watoto maeneo ya Kigamboni, Mbagala au Mbezi, kama una namba ya dalali pia unaweza kunisaidia. Pia eneo lolote...
2 Reactions
0 Replies
943 Views
Karibu nikupatie ramani ya vyumba vitatu kwa shiling 20000 tu ina .sitting room .dining room .korido .public toilet . 1 master bedroom .2 normal room .vibaraza viwili mbele na nyuma Nb haina jiko...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu Tunakuagizia bidhaa kutoka China kwa bei nafuu sana ya kiwandani na wewe utatulipa commission kidogo pindi mzigo wako ukifika. Ofisi zetu zipo kigamboni big brother. Au unaweza...
4 Reactions
41 Replies
5K Views
RAV4 J ipo sokoni Mil 7 (million saba tu) haina udalali. Safari popote Mawasiliano: 0656052164
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom