Dar sehemu gani?Hello jf,
Nahitaji kuanza mradi wa chipsi na nahitaji frame au eneo la biashara kwa ajili ya kuendesha mradi
Vifaa vipo kiongozi .. njoo PM TUONGEE.Mwenye vifaa vya mradi wa chipsi; jiko, karai, kabati la kioo nk. nahitaji kuongea nae
Hello JF,
Nahitaji kuanza mradi wa chipsi na nahitaji frame au eneo la biashara kwa ajili ya kuendesha mradi.
Nihitaji frame au eneo lililopo Dar na lililo changamka kwa ajili ya kuanzisha mradi huu.
Kama kuna mwenye nalo ni PM please.