Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza jack za umeme.hizi n nzur sababu Kwanza zinapunguza matumizi ya nguvu n kuruhusu umeme wa gari ufanye kaz.pia znafungua tyre pamoja na kujaza upepo,jack Hz utumia umeme wa gari ambapo...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Fridge aina ya Mr UK linauzwa hapa Arusha, bei chee, lina warranty ya miaka miwili Kwa mawasilino zaid 0786 998 436
0 Reactions
2 Replies
765 Views
Wakuu kuna hawa Ng'ombe Aina ya Fleckvieh ambao ni Dual- purpose cow yaani wanafaa kwa ajili ya Maziwa na Nyama na wanatoa maziwa Mengi labda kuliko aina yoyote ile ya Ng'ombe. Nilitaka kujua...
1 Reactions
78 Replies
36K Views
Porte Cc1490 Full Ac Bei M5.9 Garii nzurii mno 0783299186 0r 0716095123
3 Reactions
7 Replies
673 Views
Wakuu habari, Nauza ITEL A24 SPECS RAM 1GB ROM 16GB SCREEN SIZE 5" BATTERY (Removable) - 2400MAH Ni simu ya promotion ya tigo, line 1 ni tigo & line 2 laini yoyote inakubali Ni mpya kabisa...
0 Reactions
0 Replies
590 Views
Habari wakuu, Natafuta nyumba ya kupanga iwe na sifa zifuatazo; 1. Iwe maeneo ya Riverside Dar es Salaam 2. Isiwe mbali sana na stendi ya Riverside 2. Iwe na chumba kimoja master na sebure 3...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tunafanya huduma ya water proof maeneo yafatayo. TOP ROOF( CONCRET) (paa la juu la zega) HIDDEN ROOF (nyumba za kisasa) WATER TANK (matanki ya maji) tunatumia vifaa madhubuti kuhakikisha...
1 Reactions
3 Replies
756 Views
Je, unatafuta njia mpya ya kujiongezea kipato chako na kuanzisha biashara yako mwenyewe? Tunayo fursa nzuri kwa ajili yako! Jiunge na Programu yetu ya Reseller leo na uanze kujipatia pesa kwa...
0 Reactions
0 Replies
647 Views
Nauza kioo cha saluni ni kikubwa bei laki 1, kipo mtoni kijichi. Mawasiliano 0784427363.
0 Reactions
2 Replies
527 Views
Habari za muda huu wana JF, Bila kupoteza muda,siku ya Ijumaa natarajia kuanza safari ya kutoka Dar Es Salaam kuelekea Katavi kwa shughuli binafsi na natarajia kupita DODOMA kwa mara ya kwanza...
1 Reactions
52 Replies
18K Views
Brand: Mitsubishi Pajero Manufactured year : 2004 Imported from : Japan Engine capacity : 2,970 CC Fuel type : petrol Transmission : Automatic Clean condition Adroid radio mileage 249,283 Km...
2 Reactions
69 Replies
4K Views
Kutana na timu yetu ya Wataalamu ujenzi tuliobobea katika fani hii, Makao makuu yetu yapo MOROCCO na SINZA jijini Dar es Salaam, Kwa majengo imara na ya kisasa kama apartmenent, nyumba za kawaida...
0 Reactions
6 Replies
596 Views
SIDIRIA Bei ya china 15yuan kwa kilo 1 Oda kima cha chini 100kg (belo 2) 15x100=1500yuan 1500x379=568500Tsh (379 ni bei yangu ya kuuza yuan kwa siku ya leo 23/09/2023) 100kg nikama sidiria...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Baadhi ya Orodha ya Vyombo vya Muziki na Vifaa vya studio tunavyouza vinavyopatikana Dukani kwetu. Duka letu lipo Dodoma mjini, (Kizota) kituo cha daladala cha City jengo wanalouza bajaji za TVS...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari Wakuu, Kama kichwa kinavyosema, nahitaji nyumba ya kupanga inayojitegemea kwenye fensi yaani stand alone maeneo ya Mbezi Beach. ~ Nyumba ya vyumba viwili, sebule na jiko inayojitegemea...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari nauza gari mil4.5 Aina ya gari ni toyota vista model 2002 Engine capacity 1990 Engine type 3s Ulaji wa mafita ni mzuri mjini ni 10km /l Ukiwa safari ni 12 km /l Mawasiliano 0712206032...
2 Reactions
3 Replies
849 Views
Watoto,zakike na zakiume kila size kila mtindo Kazi yangu ni kukuuzia Yuan ama kukulipia kwa supplier wako Natoa hesabu kwa baadhi ya soksi kwa rate yangu ya leo ya yuan 379 men's socks...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamiiforum kama heading yangu inavyosema hapo naomba mwenye kujua mawasiliano ya bwana huyo Samadu Hassan ambae awali alikuwa mtangazaji wa RFA anisaidie
0 Reactions
1 Replies
901 Views
Kwa wafanyabiashara wakubwa wa gas wa jumla na reja reja kuna mitungi ya Gas inauzwa. Mitungi hii ni Empty haina Gas, kampuni za Gas zilizopo ni zote kasoro ORYX tu. CAM GAS MIHAN/TAIFA GAS OGAS...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wakuu, Lenovo Xiaoxin 700-15ISK ya CORE 7 yenye NVIDIA GEFORCE GTX imezima natafuta fundi anitengenezee nipo DAR. . Taa inawaka vizuri kabisa. . Tatizo screen ndio haiwaki .. Niliipeleka...
1 Reactions
6 Replies
601 Views
Back
Top Bottom