Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hii gari soon itafika tanzania iko majini with very few kms ikifika naitoa chap kwa 32m. Wasiliana nami kwa 0767507487 au 0736507487
0 Reactions
1 Replies
806 Views
MASHINE NDOGO YA KUSAGA NA KUKOBOA (2 in 1) mahindi, mpunga, viungo vikavu nk Mashine MPYA Bei 1,500,000/= Mashine ipo DAR ●Mashine ina pande mbili, upande mmoja ni wa kusaga na upande wa pili...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
NAUZA DUKA LENYE VIFAA VYA WATOTO DUKA LINA KILA AINA YA VIFAA VYA WATOTO NALIUZA (diapers, mafuta, toys, nguo, baby walkers, mabeseni, vitanda, midoli, chupa, n.k) LOTE KAMA LILIVYO DUKA LIPO...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habarini Wakuu Rejea kichwa cha habari hapo juu. Nahitaji msaada wa Mwalimu wa tuition MWENYE UZOEFU kwa Mwanafunzi wa kike wa darasa la 4. Awe anaweza kufika Mbweni Malindi/JKT, Dar es Salaam...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nikiamkabidhi mteja trekta aina ya Lovol Hp 75 4WD aliyoinunua kupitia mkopo wa zana za kilimo NMB MBULU Manyara, Mteja huyu kapata trekta yake ndani ya wiki mbili tangu aanze taratibu za kuomba...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza printer in a miezi 2 tu bado mpya kabsa ndo nimeinunua juzi tu nilikuwa naitumia matumizi binafsi sio biashara. Nimepatwa na shida sasa naiuza kwa bei nafuu kabisa 390 mwsho. location...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pata gari yako kwa kuanzia kulipia kidogo kidogo au kwa 40% tu ya gharama nzima na upate mkopo wa 60%marejesho ndani ya miezi 12 mpk 24, ukikizi vigezo na utaratibu wote utapata gari yako ndani ya...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
1.NAUZA NEC PROJECTOR MODEL V 260 MADE 2015 IMPORTED FROM UK REFURBUSHED LENZ HOURS 3000 PICHA 30 INCH HADI 150 HD INA VGA,SVIDEO ,VIDEO , AUX BEI NI TSH 300,000 LOCATION ROCK CITY 2 EPSON...
0 Reactions
2 Replies
754 Views
Bei ya gunia la mashudu ya mafuta ya alizeti: Chakula bora cha kuku Nguruwe Sungura na wanyama wengi. Best Price for Suck of Sunflower meal or Seeds. Mashudu ya mafuta ya alizeti ni chakula cha...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari Wana JF. Wakuu nimeleta mashine za kilo 7 za kufulia, aina ni Dnyker, high quality brand kutoka China ikifanya mauzo vizuri sana bara la Ulaya (Europe) Zina uwezo wa kufua, kusuuza na...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari nauza viatu sio virefu sana wala vifupi sana, vimevalika mara moja tu, vinapatikana Dar-es-salaam. Bei ni 20,000/ size ni 37 kubwa hata 38 anavaa. Karibuni
0 Reactions
2 Replies
571 Views
Habari! Nauza laptop kwa bei poa. Hp Elitebook (used kwa miezi 6) Ram 8gb Hard disc 500gb Processor core i5 ,cpu 2.6ghz Bei 500 ,000/=(kuna maelewano pia) contact 0752 666 539 Mwanza
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Ninahitaji kiwanja maeneo ya Tegeta, Madale. Ukubwa: sqm 450-500. Budget: 15m. Nitafurahi sana kama ntapata kutoka kwa mmiliki mwenyewe na kisiwe na migogoro. Mwenye nacho naomba ani PM
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habarini Wana JamiiForums, Natafuta battery ya Laptop tajwa hapo juu, nikipata Mpya au used yenye ubora pia ni sawa tu. Aliyekuwa nayo tuwasiliane hapa chap tufanye biashara. Picha ya laptop na...
0 Reactions
3 Replies
591 Views
Nauza friji ndogo single door hisense fridge ni mpya kabisa sijaitumia hata siku 1, bei 200,000 fridge ipo tabora nzega, mwenye uhitaji anicheki.
1 Reactions
0 Replies
569 Views
Nauza machine ya katungeneza kahawa , capuccino etc. Inaweza kutumika ofisini , nyumbani, au hata kwenye biashara kuuzia chai na kahawa. Machine iko automatic na inaweza kukupa hesabu ya vikombe...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kama uko Tabora na unauza tv inch 32 niambie nataka ilio tumika nataka kwa leo au kesho nitajie bei na aina ya tv na sehemu ulipo na pia kama una picha itapendeza.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom