Dobimaridadi Mtaalamu(specialist) wa kufua na kunyoosha nguo yupo kwa ajili yako kuhakikisha umaridadi wa muonekano wako kwa kuvaa nguo nadhifu.
Tupe nguo zako leo tukufulie/kunyoosha kwa umakini...
Salute bosses
Tangu tumeanza hii movement JamiiForums mmekua pamoja nasi muda wote. I must be very thankful for their continuous support and generosity, thanks team for the great work. Siwezi...
NYUMBA HAIJAISHA INAUZWA
Eneo ukubwa : 448 SQM
Jiko
Two bedroom ( one master)
Dinning
Open kitchen
Public toilet
Location: Madale mbopo
Bei : 20,000,000 Negotiable
1.5km from madale road (...
Wakuu habari zenu , naomba msaada wenu juu ya suala zima la soko la maziwa nchini Tanzania na hata nje ya mipaka ya Tanzania kwa mwenye details zozote zinazoweza kuwa msaada kwangu tafadhali...
Kama walivyoahidi, Remitano wamezindua sarafu yao ya Renec.
Sarafu ambayo ilikuwa ikipatikana bure kwa kufanya mining kupitia simu ya mkononi sasa ipo sokoni kupitia exchange yao.
Renec iliingia...
Kifaa hiki kimasaidia;
-Kupunguza maumivu ya viuongo
-Hufanya massage mwilini hivyo kuimarisha mzunguko wa damu
-Kwa wanariadha na wafanya mazoezi kinaondoa uchovu
-Kinasaidia kwa watu...
Habari ndugu zangu humu jukwaani, naombeni machimbo wapi ntapata dollar.
Nimezunguka sana kwenye benki lakini nimekwama, hakuna kabisa.
Sehemu gani naweza kupata dola ndugu zangu? Nahitaji...
Habari wanajukwaa,
Kwa mwenye kujua soko la kuku wa nyama mkoani Mwanza anipe connection mimi napatikana Usagara.
Nina broilers 358 wanakaribia kuingia sokoni Bado week Moja tu.
Natanguliza...
Habari wadau,
Tunatoa huduma za ufundi umeme na solar,
. wirring aina zote
. maintenance ya wirring zote
. security system (CCTV)
.water pump
. Street light
N.k
Tunapatikana Iringa Mjini
Call...
Habari njema kwa watanzania wote. Sasa tumaweletea kifaa kipya na cha kisasa kiitwacho MiFi kutoka Marekani, ambacho kinatumia line za mitandao ya simu za mikononi na kurusha internet kwa njia ya...
Nina Tsh. Milioni 30 cash mkononi mwangu, kujenga ndo kipaombele changu, hata biashara pia.
Mwenye nyumba nzuri ya milioni 20 (Arusha) anitafute. Milioni 10 nataka nifanye biashara nipate hela ya...
Viwanja vinauzwa Makongo Mwisho (Jirani na Kanisa Katoliki)
Sqmt 1 kwa Shilingi 70,000
Viko Km 1 kutoka lami ya Makongo inayoelekea Goba.
Bodaboda 1,000 mpaka site.
0712787939
Offer Cherehani ya Umeme
Name Ufesa
Made in Spain
Model Maquina De Coser
Modeli hii kwa Kifaransa tunaita Acquina de Costurar
Sws 3003 Performance
1.Inashano
2.Inadarizi
3.Inapiga zigizaga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.