Nyumba ilioishia kwenye linta ipo Kitunda Relini jirani na Kanisa la Lutherani inauzwa, inahitajika kumaliziwa kwa upauwaji tu, bei yake ni shilingi 12,000,000. Kwa mawasiliano piga namba 0788883962.
Kuna Nyumba nzuri ya kawaida yenye vyumba 3 na sebule na eneo la ziada lakini haina umeme ipo Ukonga Bombambili inauzwa shilingi 15,000,000. Kwa mawasiliano piga namba 0788883962.
Kwa yeyote anaehitaji spare za pajero ilipata ajali ilitembelea kipaa tukaamua kuikatakata kwa hiyo kama unapajero yako umeipaki kwasababu umekosa spare labda turbo,engine,gear box,diff...
Wapenzi wasomaji... Naleta kwenu habari ya mjini kipenzi cha watu Altezza Gita rangi ya silver from Japan.... Ushindwe wewe tuuuuu... Km 97,000 aaahaaa full utamu..!! DVD player full movie kuona &...
Habari zenu ndugu zangu, tafathali naomba mnisaide kunielekeza vijiji vya singida ambavyo vinakuaga na minada vya mara kwa mara ili niweze kupeleka bishara zangu,naomba pie mnieleze ni siku gani...
Camera 5 megapixel, storage 8 GB..text 0685072527..maelezo mengine google..inauzwa handset tu..simu ipo kwenye hali fresh snaps hizo hapo..inapatikana DSM..
habari zenu wakuu?
naombeni msaada nataka nianze maisha sasa kwaio nahitaji kiwanja. Maeneo tajwa na maeneo mengine ambayo bei iko nzuri. bei yoyote tuu lakin isizidi mil 6.
kama una deal au...
Kuna nyumba ipo Ukonga Mazizini yenye vyumba 4, ina umeme na imejengwa kisasa. Bei yake ni shilingi 30,000,000. Kwa mawasiliano piga namba 0788 883962.
MITSUBISHI L200 4LIFE, MANUFATURED IN 1999....JUST IMPORTED TODAY 17/07/2013 FROM THE UK, DUTY PAID, COMES WITH BLUE AND SILVER, 2.5cc TURBO DIESEL, MANUAL TRANSMISSION, DOUBLE CAB WITH MATCHING...
Wanajamvi kuweni makini sana na wanaotangaza kuuzwa kwa mashamba nk, majuzi nilienda mwanza, nilipofika mwanza nikapelekwa sehemu ambako nilitaka kununua kama heka5 za shamba maana sehemu yenyewe...
Shamba la ekari 6 linauzwa maneromango lipo karibu na barabara. Bei ni milini 6. Unaweza kulima karibu mazao yote kuanzia mahindi, karanga, matikiti, ngano, alizeti nk. Unaweza kupiga au kunitext...
Wadau nina bidhaa ya UNGA WA UBUYU, natafuta soko, ninao unga wa kutosha na bado naendelea kuuzalisha, mwenye kuhitaji awasiliane nami kwa namba zifuatazo 0712700280/0766550881. Napatikana Dodoma...
Wakuu,
Kuna shamba la ekari 100 linauzwa katika kijiji cha kidomole karibu na itakapojengwa bandari mpya bagamoyo. Ukihitaji kwa ekari ni laki 5 tu na ukinunua kuanzia ekari 20 bei inapungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.