Simu tajwa hapo kwenye headline inauzwa ni Adroid system na inatumia line zote pasipo kuchagua. Bei ni 120,000
Kwa atakayehitaji piga namba hizi 0787577755 or 0717577755
Bei haishuki!
shamba hekar tano linauzwa kati ya hizo tano heka mbili lina mikorosho , lipo kijiji cha mwanzo kabisa cha wilaya ya rufiji kama ukitoka dar kuelekea lindi/mtwara au kijiji cha mwisho cha wilaya...
Nauza shamba lenye ukubwa wa ekari mbili. lipo maeneo ya kibaha boko mnemela karibu kabisa na barabara ya kutokea mlandizi. umbali wa km12 kutoka tumbi. Eneo husika kuna umeme so ukijenga pale...
Eneo ni zuri linafaa kwa ujenzi wa makazi,maji,umeme vipo,eneo ni tambarare,ukubwa wa plot ni 70 kwa 70 hati ipo,km 5 kutoka barabara ya morogoro, bei maelewano anayejijua anahitaji anipm.
Kwa ushauri wapi uchukulie mikopo, kwann? na matumizi sahihi ya mikopo tuwasiliane!!
Pia kama unahitaji kusaidiwa jinsi ya kunakili, kutunza kumbukumbu za biashara zako kwa njia za kihasibu...
Nyumba ya vyumba vitatu, sitting room, Dinning room na jiko inapangishwa Makongo juu. Ipo ndani ya uzio, umeme wa Luku maji ya kununua inapangishwa.
Kodi ni laki nne kwa mwezi (400,000 per month)...
Kuna Eneo Zuri linauzwa lipo Chanika Adida Karibu na shule ya sekondari binafsi, lenye urefu wa mita 110 na upana mita 30, bei yake ni shilingi 50,000,000. Kwa mawasiliano piga namba 0788883962.
Viwanja vyenye hati miliki(title deed) vinauzwa kigamboni.
Ukubwa wake ni 1007 sqm, kipo Gezaulole block 24, na kingine 1543 sqm kipo kibada block 26. Bei ni sh 30,000 per sqm.
Pia kuna kiwanja...
Waungwana wanaJF habari zenu na poleni kwa pirika za maisha dhumuni la mtiririko huu kutoka kwangu ni kuulizia kama kuna mtu yeyote hapa jamvini anayo au anamfahamu mtu anayeweza kuuza au sehemu...
Wanajamvi wenzangu.
Kwasasa serikali imezindua kampeni ya virutubisho kwa watoto wenye umri wa miezi 6-miaka 5. Kampeni hii ambayo inafadhiliwa na USAID na Wizara ya Afya nia yake hasa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.