Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta samsung tab 2 10 inch skrin
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Xbox live used.....(Broken or Dirty Lense)-80,000Tsh -With 2 to 3 games with pad and original ca bles and memory card .....+255 756 412 337
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Simu tajwa hapo kwenye headline inauzwa ni Adroid system na inatumia line zote pasipo kuchagua. Bei ni 120,000 Kwa atakayehitaji piga namba hizi 0787577755 or 0717577755 Bei haishuki!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
shamba hekar tano linauzwa kati ya hizo tano heka mbili lina mikorosho , lipo kijiji cha mwanzo kabisa cha wilaya ya rufiji kama ukitoka dar kuelekea lindi/mtwara au kijiji cha mwisho cha wilaya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Iko katika very good condition,ni ya mwaka 2006,imetembea Km 78,000 price ni 15,500,000/= maongezi yapo!kwa wale walio serious wani PM tafadhali
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Nauza shamba lenye ukubwa wa ekari mbili. lipo maeneo ya kibaha boko mnemela karibu kabisa na barabara ya kutokea mlandizi. umbali wa km12 kutoka tumbi. Eneo husika kuna umeme so ukijenga pale...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Eneo ni zuri linafaa kwa ujenzi wa makazi,maji,umeme vipo,eneo ni tambarare,ukubwa wa plot ni 70 kwa 70 hati ipo,km 5 kutoka barabara ya morogoro, bei maelewano anayejijua anahitaji anipm.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau kuna plots zinauzwa KUNDUCHI-SALASALA,40*40m,bei 45milioni na kingine 35m*45m pamoja na nyumba,bei 65milioni.Piga 0754 856277.
0 Reactions
0 Replies
895 Views
Kwa ushauri wapi uchukulie mikopo, kwann? na matumizi sahihi ya mikopo tuwasiliane!! Pia kama unahitaji kusaidiwa jinsi ya kunakili, kutunza kumbukumbu za biashara zako kwa njia za kihasibu...
0 Reactions
0 Replies
850 Views
Mwenye kiwanja maeneo ya Mikocheni naomba anipe bei na ukubwa wake tafadhali
0 Reactions
1 Replies
2K Views
ni NOKIA X2-02 line mbili made in india ina mwezi tu TSH 100000 internet full,charger,earphone zpo. PIA NOKIA N1280 TSH 25000 TU,charger yake ipo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba ya vyumba vitatu, sitting room, Dinning room na jiko inapangishwa Makongo juu. Ipo ndani ya uzio, umeme wa Luku maji ya kununua inapangishwa. Kodi ni laki nne kwa mwezi (400,000 per month)...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna Eneo Zuri linauzwa lipo Chanika Adida Karibu na shule ya sekondari binafsi, lenye urefu wa mita 110 na upana mita 30, bei yake ni shilingi 50,000,000. Kwa mawasiliano piga namba 0788883962.
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Viwanja vyenye hati miliki(title deed) vinauzwa kigamboni. Ukubwa wake ni 1007 sqm, kipo Gezaulole block 24, na kingine 1543 sqm kipo kibada block 26. Bei ni sh 30,000 per sqm. Pia kuna kiwanja...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Waungwana wanaJF habari zenu na poleni kwa pirika za maisha dhumuni la mtiririko huu kutoka kwangu ni kuulizia kama kuna mtu yeyote hapa jamvini anayo au anamfahamu mtu anayeweza kuuza au sehemu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajamvi wenzangu. Kwasasa serikali imezindua kampeni ya virutubisho kwa watoto wenye umri wa miezi 6-miaka 5. Kampeni hii ambayo inafadhiliwa na USAID na Wizara ya Afya nia yake hasa ni...
8 Reactions
55 Replies
20K Views
nimejaribu kuangalia tangazo la modem lakn sijaona,wap naweza kupata universal modem kwa bei nafuu
0 Reactions
2 Replies
938 Views
Wakuu nauliza wapi naweza pata Dhahabu kwa bei nzuri ambayo haijawa manufactured? Nikiwa naana kwamba nataka kujaribu hii biashara. Mlioko machimboni please msaada. Unaweza kuniwekea PM ili...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom