Habari zenu wakuu,
Ndugu zangu kuna viwanja viwili vinauzwa kwa 7.5m na 10m,vipo MAKOKA MWISHO sehemu tambarale,kwenye hiyo bei pia maongezi yapo hivo bei ni maelewano! Kwa anayehitaji wasiliana...
Total - 100 Sq meters of space
Divided into 5 separate units, each with locking door
Prime location - in clock tower area (India Street)
Modern office, good view, clean and secure
Comes with two...
Wakuu habari zenu,
Napenda kujitambulisha kama mwanachama mpya hapa Jamii Forum. Naamini nitajifunza mengi zaidi kama mwanachama kuliko awali nilivyokuwa nachungulia tu kwa juujuu. Asanteni...
Shikamooni wakuu..hope wote mpo salama.mbarikiwe sana,mimi ni graduate,natafuta mentors especially waliosomea business related courses na ikiwa marketing itakua vizuri zaidi.Pia wenye uzoefu au...
Wanajf,naombeni mnisaidie juu ya kupata kazi kwa mtu,kampuni binafsi na viwandani na hata ya dukani ila iwe na masilahi,elimu yangu ni form 4 pia nipo dar es salaam,asanteni
Habari wandugu
Mimi ni mtaalamu wa mambo mbalimbali ninatafuta tenda za kupamba katika kumbi mbalimbali za sherehe, au shughulli kama vile mikutanoni, misibani, na shughuli yoyote, ni mtaalamu wa...
Poleni na majukumu, kwa wale wajasiliamali wezangu nahitaji msaada wenu nimekwama, nimepata katenda ka kujenga networking mahali nimefanya kwa hatua zote, mwisho nimekwama kwenye Server. Aina ya...
Pata vifaranga vya kuku wa kienyeji toka Bena quality chicks.Tunao kuku aina ya malawi, chotara, Rhode Island Red, Barreck Rock, Bata Mzinga,tunauza vifaranga kila wiki, tunatoa ushauri kwa wateja...
Nyumba nzuri inauzwa ipo Ukonga Moshi Bar ina vyumba 9 umeme na kisima na ipo karibu na barabara ya mtaa bei ni shilingi 28,000,000. Kwa mawasiliano piga namba 0788 883962.
boxer bm150 imetumika kwa miezi 4 bado mbichi imelipiwa kila kitu yaani motor vehicle na ina bima kubwa(comphrensive insurance) bei haipungui nicheki kwa 0717022737 ilikuwa inatumika kwa safari za...
Karibu mjipatie asali safi kwa kutoa order yako kupitia namba 0683370065 au 0769129351 kwa wale mliopo DAR ES SALAAM AU MOROGORO na utaletewa ulipo bila kujihangaisha!
Lakini pia wakazi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.