Mimi ni kijana wa kiume natafuta kazi maeneo ya dar,elimu yangu ni form 4 pia nina uzoefu ktk mauzo,unaweza kuwasiliana nami kwa email hii herrysalum4@gmail.com au simu namba 0685763613
Habari wapendwa
Nahitaji pikipiki aina ya FEKON 150cc - 220cc iwe na road license, imekatiwa bima iliyotumika miezi 4 hadi 5
nitainunua kwa shs 950,000/= pls aliyenayo aniPM kwa mawasiliano zaidi...
Habari wakuuu nauza SAMSUNG MINI LAPTOP MODEL NP-NC110-P04NG
Sifa zake
Processor 1.7 Ghz
RAM 2 GB
HARDDISK 320 GB
WEBCAM
CARD READER
BLUETOOTH
Bei ni tshs.380,000/=.Maelewano yapo
Pia nitakupa...
Habari za sasa wapendwa
mimi nina shida sana na haka kagari kadogo dogo sasa naombeni msaada wenu ktk haya maswali yafuatayo:-
-Show room za Dar inapatikana kwa how much?
-Je bei yake ina...
Habari wandugu
Mimi ni mtaalamu wa mambo mbalimbali ninatafuta tenda za kupamba katika kumbi mbalimbali za sherehe, au shughulli kama vile mikutanoni, misibani, na shughuli yoyote, ni mtaalamu...
Ukonga Mombasa kuna nyumba inauzwa, nyumba in vyumba vitatu na master, daining room, sebule na jiko halafu kuna choo cha ndani na choo cha nje na bafu, pia maji yapo mda wote na ina fremu 3 moja...
Tunaprint jez na kuweka number kwa bei poaaa....!!!ni beeei poaaaa kwa maaana ya poa tupo tandika mwishoo mtaaa wa usangii....!!!kwa maelezo piga 0716163696
Wadau, nimetokea kuipenda Alteza na ninataka kuinunua. Nimekuwa mpenzi na mtumiaji wa Nissan siku zote, nataka nitumie Toyota hasa alteza kwa kuwa ni sportish na ninapenda ilivyo. Ushauri wangu...
Katika maeneo ya Chanika-Kigogo kuna nyumba inauzwa, ni ya kawaida lakini ina eneo la robo heka na ni eneo linalosifika kwa usalama wa mali zako bei yake ni shilingi 70,000,000. Namba 0788883962...
Chanika mbuyuni kuna eneo zuri na safi lenye ukubwa wa mita 50 kwa urefu na upana wa mita 30 bei yake ni shilingi 45,000,000 na limegota karibu na barabara ya lami. Tumia namba 0788883962 kwa...
Kuna nyumba yenye vyumba 3 ipo Kitunda-Kivule mwisho karibu na Kananura Secondary School na kuna hali ya hewa nzuri na tulivu na eneo lake ni urefu mita 70 na upana mita 30 na inauzwa kwa bei ya...
Kuna eneo linauzwa lenye Ukubwa wa nusu heka lina vyumba 2 umeme upo na kisima cha maji ya chumvi lipo Ukonga-Mkoremba linauzwa 30,000,000. Kwa mawasilino piga namba 0788883962.
Nyumba safi iliopo Ukonga Moshi Bar yenye vyumba 4, moja master room, sebule, jiko, daining room na nje kuna fensi ambapo kuna nyumba nyingine ndogo ina vyumba 3 na kila chumba na sebule yake na...
Eneo zuri lenye mvuto lenye ukubwa wa nusu heka karibu na barabara kuu ya chanika linauzwa shilingi 50,000,000, hapohapo kuna eneo lingine zuri linapakana nalo lenye urefu wa mita 40 na upana wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.