Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mimi ni kijana wa kiume natafuta kazi maeneo ya dar,elimu yangu ni form 4 pia nina uzoefu ktk mauzo,unaweza kuwasiliana nami kwa email hii herrysalum4@gmail.com au simu namba 0685763613
0 Reactions
0 Replies
772 Views
Mimi ni kijana wa kiume natafuta kazi maeneo ya dar,elimu yangu ni form 4 pia nina uzoefu ktk mauzo
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Habari wapendwa Nahitaji pikipiki aina ya FEKON 150cc - 220cc iwe na road license, imekatiwa bima iliyotumika miezi 4 hadi 5 nitainunua kwa shs 950,000/= pls aliyenayo aniPM kwa mawasiliano zaidi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
0 Reactions
1 Replies
984 Views
Habari wakuuu nauza SAMSUNG MINI LAPTOP MODEL NP-NC110-P04NG Sifa zake Processor 1.7 Ghz RAM 2 GB HARDDISK 320 GB WEBCAM CARD READER BLUETOOTH Bei ni tshs.380,000/=.Maelewano yapo Pia nitakupa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
nauza toyota carina si sh 9m,ina km 46,000 ndio imeingia toka japan picha zitafata soon.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau natafuta mtu anaue uza pikipiki used iwe aina ya "boxer" au "Sanlg" mawasiliano yangu 0712868178.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za sasa wapendwa mimi nina shida sana na haka kagari kadogo dogo sasa naombeni msaada wenu ktk haya maswali yafuatayo:- -Show room za Dar inapatikana kwa how much? -Je bei yake ina...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wanajamii naomba msaada kwa anayejua Benki yoyote hapa Bongo iliyo na huduma ya kufungua account inayowezesha kufanya transactions za paypal.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wandugu Mimi ni mtaalamu wa mambo mbalimbali ninatafuta tenda za kupamba katika kumbi mbalimbali za sherehe, au shughulli kama vile mikutanoni, misibani, na shughuli yoyote, ni mtaalamu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ukonga Mombasa kuna nyumba inauzwa, nyumba in vyumba vitatu na master, daining room, sebule na jiko halafu kuna choo cha ndani na choo cha nje na bafu, pia maji yapo mda wote na ina fremu 3 moja...
0 Reactions
1 Replies
858 Views
Tunaprint jez na kuweka number kwa bei poaaa....!!!ni beeei poaaaa kwa maaana ya poa tupo tandika mwishoo mtaaa wa usangii....!!!kwa maelezo piga 0716163696
0 Reactions
1 Replies
883 Views
Kuna nyumba ya kawaida Kitunda-Kivule inauzwa kwa bei ya shilingi 25,000,000. Piga 0788883962 kwa mawasiliano zaidi.
0 Reactions
1 Replies
987 Views
Wadau, nimetokea kuipenda Alteza na ninataka kuinunua. Nimekuwa mpenzi na mtumiaji wa Nissan siku zote, nataka nitumie Toyota hasa alteza kwa kuwa ni sportish na ninapenda ilivyo. Ushauri wangu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Katika maeneo ya Chanika-Kigogo kuna nyumba inauzwa, ni ya kawaida lakini ina eneo la robo heka na ni eneo linalosifika kwa usalama wa mali zako bei yake ni shilingi 70,000,000. Namba 0788883962...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chanika mbuyuni kuna eneo zuri na safi lenye ukubwa wa mita 50 kwa urefu na upana wa mita 30 bei yake ni shilingi 45,000,000 na limegota karibu na barabara ya lami. Tumia namba 0788883962 kwa...
0 Reactions
0 Replies
820 Views
Kuna nyumba yenye vyumba 3 ipo Kitunda-Kivule mwisho karibu na Kananura Secondary School na kuna hali ya hewa nzuri na tulivu na eneo lake ni urefu mita 70 na upana mita 30 na inauzwa kwa bei ya...
0 Reactions
0 Replies
964 Views
Kuna eneo linauzwa lenye Ukubwa wa nusu heka lina vyumba 2 umeme upo na kisima cha maji ya chumvi lipo Ukonga-Mkoremba linauzwa 30,000,000. Kwa mawasilino piga namba 0788883962.
0 Reactions
0 Replies
968 Views
Nyumba safi iliopo Ukonga Moshi Bar yenye vyumba 4, moja master room, sebule, jiko, daining room na nje kuna fensi ambapo kuna nyumba nyingine ndogo ina vyumba 3 na kila chumba na sebule yake na...
0 Reactions
0 Replies
975 Views
Eneo zuri lenye mvuto lenye ukubwa wa nusu heka karibu na barabara kuu ya chanika linauzwa shilingi 50,000,000, hapohapo kuna eneo lingine zuri linapakana nalo lenye urefu wa mita 40 na upana wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom