Jipatie sasa sehemu hii ya kwanza ya kitabu hiki kwa Tsh. 10,000/=
ndani yake utapata muongozo wa jinsi na namna ya kujibrand kuanzia
maana ya Brand hadi jinsi ya kuanza kujibrand.
Jinsi ya...
Habari wapendwa, nimefungua ofisi ya uwakala ila ninauhitaji wa line ya tigo pesa, kwa mwenye nayo au anayeweza kunisaidia jinsi ya kuipata pls nitashukuru hivyo inbox me kwa kunipa jinsi au offer...
Nearly new nokia e72 for sale ,in excellent condition nimeitumia UK kwa 1 month only.Rangi ni nyeusi na inaweza kutumia kwenye whatsap .Bei 270 mweny kuhitaji 0713404014
Nauza
Electrical Cable Euro 2.5 Twin Roll 1 ya 100 metes mpya kabisa haijafunguliwa kwa sh laki moja na elfu 20(120,000/=)
Network Cable Seamon Cat 6 Roll 1 ya 300 meters mpya kabisa...
Kwa wale wasafiri na wakazi wa Mikoa ya Dodoma na Kilimanjaro sasa wanaweza kusafiri kwa Mabasi ya Champion ya mjini Dodoma hadi Tarakea mpakani kabisa wilayani Rombo kwa bei ya 33,000/= na...
Gari iko hali nzuri sana,n aina miezi mitatu toka ianze kutumika hapa Tanzania. Haijabadilishwa kitu chochote kama engine,seats nk.Imelipiwa Ushuru na BIMA.Gari liko Arusha Ukiwa unahitaji piga...
Natafuta mtu wa kunisaidia kutafsiri ujumbe uliopo ktk ukurasa mmoja tu kwenye document ninayohitaji itafsiriwe.
English-Swahili.
kwa malipo, siyo bure.
Deadline (anikabidhi kazi): Kesho saa nne.
kwa anayeitaji ramani ya nyumba katika usanifu wowote ani pm kwa david08606@Gmail.com au 0659497070 mi napatikana dsm.kwa uhakika zaid ya ninachokifanya angalia kwenye Iyo attachment
Wakuu habari zenu.. naombeni ushauri nataka niagize Toyota premio T24 series ya mwaka 2004...Kwa mnaojua magari vipi inafaa nikimaanisha ngumu na kwa safari ndefu kama za Arusha - Dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.