Biashara ya bidhaa za forever

Biashara ya bidhaa za forever

Devla

Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
74
Reaction score
13
nataka kuchukua bidhaa za FOREVER na supply lakini nimepata darasa juu juu tu aliye na taarifa kamili naomba anijuze zaidi, namna ya kuwa mwanachama, kupata bidhaa namna ya kusambaza na masharti yake ya koje
 
Hizo biashara za jinsi hiyo (pyramid schemes) bado zinapata wahanga tu!
 
nataka kuchukua bidhaa za FOREVER na supply lakini nimepata darasa juu juu tu aliye na taarifa kamili naomba anijuze zaidi, namna ya kuwa mwanachama, kupata bidhaa namna ya kusambaza na masharti yake ya koje

Ni PM pembeni tuelekezane.
 
nataka kuchukua bidhaa za FOREVER na supply lakini nimepata darasa juu juu tu aliye na taarifa kamili naomba anijuze zaidi, namna ya kuwa mwanachama, kupata bidhaa namna ya kusambaza na masharti yake ya koje
Utajuta.
 
Nakushauri achana na biashara za kizushi kama hizo. Watu wengi ni bla bla tu za utajiri wa haraka haraka lakini sijawahi kumuona hata mtu mmoja aliyetoka kupitia forever sijui oriflame.
 
Back
Top Bottom