Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,647
HABARINI WANA JF
Playstation 2 consoles zilizotengenezwa kutumia flash disk zinapatikana, baada ya kuwa zimewekewa chip kwenye system yake na kuweza ku boot games za iso bila kutumia CD za ps2..tunafahamu kuwa PS2 console nyingi hasa zinazotoka china zina uwezo wa kukaa miezi kama 3 maximum kwa kutumia CD na baada ya hapo zinakufa Lens sasa hakuna haja tena ya kuwaza matumizi ya CD we ni flash disk tu na kuinjoy games,pia Consoles zinazotoka ULAYA (PAL) na America (NTSC) original zinachakachuliwa na kutumia flash badala ya kuangaika na CD original za bei mbaya...
bei ya console moja ni 150,000 bila accessories kama controllers,memory card na flash disk..ukiiitaji vyote pamoja na accesories ni PM tuzungumze bei na games tunakuwekea kwa choice yako mwenyewe
NB: kumbuka Console hizi zinaweza kucheza Games bila kuwepo hata sacket nzima ya lens na pia nzuri kwa biashara na matumizi ya nyumbani kwa wale wanaopenda gaming
Mwenye kuhitaji Ani PM au simu 0763925535
Playstation 2 consoles zilizotengenezwa kutumia flash disk zinapatikana, baada ya kuwa zimewekewa chip kwenye system yake na kuweza ku boot games za iso bila kutumia CD za ps2..tunafahamu kuwa PS2 console nyingi hasa zinazotoka china zina uwezo wa kukaa miezi kama 3 maximum kwa kutumia CD na baada ya hapo zinakufa Lens sasa hakuna haja tena ya kuwaza matumizi ya CD we ni flash disk tu na kuinjoy games,pia Consoles zinazotoka ULAYA (PAL) na America (NTSC) original zinachakachuliwa na kutumia flash badala ya kuangaika na CD original za bei mbaya...
bei ya console moja ni 150,000 bila accessories kama controllers,memory card na flash disk..ukiiitaji vyote pamoja na accesories ni PM tuzungumze bei na games tunakuwekea kwa choice yako mwenyewe
NB: kumbuka Console hizi zinaweza kucheza Games bila kuwepo hata sacket nzima ya lens na pia nzuri kwa biashara na matumizi ya nyumbani kwa wale wanaopenda gaming
Mwenye kuhitaji Ani PM au simu 0763925535