mpitanjia2005
Member
- Jul 27, 2013
- 40
- 5
Habari wa JF,
Natafuta kiwanja kisichopungua ukubwa wa sqm 600 kati ya maeneo yafuatayo:
1.Salasala
2.Mbweni
3.Bunju
Kiwe kimepimwa na serikali na hakina mgogoro wowote.
Budget: 15M
Je kuna uwezekano wa kupata???
Mwenye details zozote naomba anitumie PM ili tuweze kuwasiliana.
Natafuta kiwanja kisichopungua ukubwa wa sqm 600 kati ya maeneo yafuatayo:
1.Salasala
2.Mbweni
3.Bunju
Kiwe kimepimwa na serikali na hakina mgogoro wowote.
Budget: 15M
Je kuna uwezekano wa kupata???
Mwenye details zozote naomba anitumie PM ili tuweze kuwasiliana.