Natafuta kiwanja...

Natafuta kiwanja...

mpitanjia2005

Member
Joined
Jul 27, 2013
Posts
40
Reaction score
5
Habari wa JF,
Natafuta kiwanja kisichopungua ukubwa wa sqm 600 kati ya maeneo yafuatayo:

1.Salasala
2.Mbweni
3.Bunju

Kiwe kimepimwa na serikali na hakina mgogoro wowote.
Budget: 15M
Je kuna uwezekano wa kupata???

Mwenye details zozote naomba anitumie PM ili tuweze kuwasiliana.
 
nyumba ipo dar kivule karibu na shule ya kivule ina nyumba viwili na ina vyumba vitatu vya biashara yaani frem zilizopo bararani ina uwnja wa kutosha kujenga tena bei ni mill 15(maelewano) eneo ni robo heka
 
salasala huwezi kupata kiwanja cha size hiyo kwa bei hiyo, ongeza 15M nyingine
 
unakubali kulipwa kwa instalments ya mara tatu??
nyumba ipo dar kivule karibu na shule ya kivule ina nyumba viwili na ina vyumba vitatu vya biashara yaani frem zilizopo bararani ina uwnja wa kutosha kujenga tena bei ni mill 15(maelewano) eneo ni robo heka
halafu dar kivule ndio wapi?
 
unakubali kulipwa kwa instalments ya mara tatu?? halafu dar kivule ndio wapi?

kitunda dar es salaam ukifika hapa banana unaingia numa ya jenga la aviation house hapa banana karibu na shule ya sekondary kivule
 
Appoh hiyo Nyumba ina ukubwa gani na eneo la uwanja ni kiasi gani?
Tuma picha ili iwe rahisi kutoa maamuzi.
 
Habari wa JF,
Natafuta kiwanja kisichopungua ukubwa wa sqm 600 kati ya maeneo yafuatayo:

1.Salasala
2.Mbweni
3.Bunju

Kiwe kimepimwa na serikali na hakina mgogoro wowote.
Budget: 15M
Je kuna uwezekano wa kupata???

Mwenye details zozote naomba anitumie PM ili tuweze kuwasiliana.

njoo chanika mkuu hiyo pesa nyingi sana,hata kama kuna raia mwingine anahitaji huku chanika anipm mi nina maeneo ya kutosha karibuni tutumie fursa hii
 
Kipo Majohe Ukonga kina square meter 700, kimapimwa na serikali na kina hati kabisa. ni PM.
 
Mimi nina kiwanja ubungo msewe jirani na chuo kikuu udsm ni PM NIKUPE PRICE, KIPO LOCATION NZURI KWA BIASHARA AU MAKAZI. Siweki bei hapa...
 
njoo chanika mkuu hiyo pesa nyingi sana,hata kama kuna raia mwingine anahitaji huku chanika anipm mi nina maeneo ya kutosha karibuni tutumie fursa hii

chanika mbali watu wanafanya kazi posta mpaka chanika
 
chanika mbali watu wanafanya kazi posta mpaka chanika

mkuu chanika sio mbali watu wanaishi huku na kazi wanafanya posta afu sio wote wanafanya kazi posta,mtu aliye interested anicheki nina maeneo makubwa anipm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom