Habari zenu wadau, nilikua nauliza km kuna mtu anafahamu upatikanaji wa mashine za kukobolea nakusaga nafaka pamoja na bei yake, tafadhali naomba anijuze..
Wana JF Mimi nina Pick Up Truck tani 1 used lakini in a very good shape. Natafuta mfanyabiashara au kampuni inayohitaji kukodisha. Contracts ya kudumu kuanzia mwezi na kuendelea.
Guardian of Male health!Guardian of Male health!
Main ingredientNutritIon composition: Each 1000mg contains:
Tomato extract .240mg
Lycopene .14mg
Function:1. Guardian of...
Habari zenu Wanajamii,
Nauza Digital camera.
Aina:Sony cybershot
Megapixel:14.1
Zooming:5x28 optical zoom
Colour:Black
Memory:4GB
Ina charger yake,USB na bag.
Bei ni 300,000/-.Maelewano yapo
Kwa...
Nimejaza form ya mkopo online kwa hawa jamaa wanajiita ''SAVINGFOUNDATION''
ambapo wanasema wanatoa mkopo ndani ya dakika 45,nimelipa ada zote shilling 37,000/=
lakini leo siku ya pili cjapata...
natafuta simu ya touch screen ya bei ya chini. isiwe na tatizo, iwe na intarnet, watsup, 2go na makorokoro yote. bei ianzie 50,000 mpaka 80,000. kama unayo 2pia status yako hapa chini nikipendezwa...
nyumba inauzwa maeneo ya tabata barakuda ina sifa zifuatazo ina vyumba vitatu,..master bedroom ikiwa imewekwa air condition chumbani ina vioo vya aluminium ina jiko ndani, store, public toilet kwa...
TOYOTA Cresta GX100.
Km 150,000. 1988 CC. 1999Year.
Location: ZANZIBAR
Inaenda. 4.9m Fixed
Call: # Rashid Abbas 0715394100. Only serious buyer. fp rancotrading
Viwanja Vilivyopo Kigamboni Mwasonga (Karibia na Dar Es Salaam Zoo)
Vinauzwa kwa Bei ya Shilingi Milioni Nane(8)
Ni viwanja vyenye hati na Vilivyokwisha pimwa Tayari
Kwa Mawasiliano...
Toyata nadia inauzwa , bei makubaliano , automatic, mialage 41,200km,full ac , excellent condition, pia toyota land cruise vx , Tel 0713-95-92-90 , 0687-57-34-34
Wadau gharama ya kununua kiwanja ambacho hakijapimwa ni kubwa mno ikiwemo kubomolewa nyumba na kuambiwa
matumizi ya hapo ulipojenga siyo makazi na hapawezi kupimwa.
Hivyo basi tumeamua kuwaletea...
Habari za leo wanajamvi?
Naomba msaada wa kupata Msichana wa Kazi wa Uhakika.
Mshahara ni maelewano, ila inaweza hata kufikia Tshs. 50,000, inategemea na uzoefu na ufanyaji wa kazi.
Kituo cha...
Je unatafuta watu wa kukuandalia katika shughuli yako?..Unatafuta chakula kitamu lakini hujui wapi pa kuanzia? ...Kwa mahitaji ya huduma ya vyakula,vinywaji katika shughuli mabalimbali kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.