Kuhusu machine za kukobolea na kusaga

Kuhusu machine za kukobolea na kusaga

Daud omar

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2011
Posts
2,458
Reaction score
986
Habari zenu wadau, nilikua nauliza km kuna mtu anafahamu upatikanaji wa mashine za kukobolea nakusaga nafaka pamoja na bei yake, tafadhali naomba anijuze..
 
Nenda clock tower kuna duka linaitwa outo sukoni-dar,au ule mtaa wa kisutu barabara morogoro kuna maduka mengi ya mashine za kusaga
 
Kuna chimbo nimekuta kuna mashine ya kusaga na kukoboa Mpya kabisa hazijawahi kutumika za ZZK Mbeya ngoja nikuangalizie kama tunaweza kufanya biashara.
 
By askayde, fuatilia alafuu utanishtua

By adharius, powa nitaenda kuangalia mitaa hyo, ila pia kama utapata funun za bei usikose kunijulisha.
 
nenda pale shekilango, milenium business park utapata, ziko aina mbalimbali utajichagulia mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom