Msaada wa kupata Msaidizi wa Ndani!

Msaada wa kupata Msaidizi wa Ndani!

Sumba-Wanga

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2011
Posts
5,353
Reaction score
1,235
Habari za leo wanajamvi?

Naomba msaada wa kupata Msichana wa Kazi wa Uhakika.

Mshahara ni maelewano, ila inaweza hata kufikia Tshs. 50,000, inategemea na uzoefu na ufanyaji wa kazi.

Kituo cha kazi kitakuwa ni Morogoro
 
Kuwa makini sana..hawa wasichana wamekuwa matapeli,utakuta umesafishwa nyumba nzima maana wanakula dili na madalali wanaowaleta..
 
Kuwa msitaarabu ktk kuandika beki 3, ni jina la dharau. ficha upumbavu wako, beki 3, waite mamazako dadazako na koma kudharirisha watu, lisilo kupendeza wewe usiwatendee wenzio, nyie ndio mnao wanyanyasa wafanyakazi wa ndani,
 
Kauli zako zitafanya watu waogope kukutafutia msichana wa kazi jina gani unalowaita binadam wenzio kuwa mstaarabu ndugu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kuwa msitaarabu ktk kuandika beki 3, ni jina la dharau. ficha upumbavu wako, beki 3, waite mamazako dadazako na koma kudharirisha watu, lisilo kupendeza wewe usiwatendee wenzio, nyie ndio mnao wanyanyasa wafanyakazi wa ndani,

Asante sana Mkuu.

All in all thanks anyway, but your comments leaves a lot to be desired.

However, Next time just PM me rather than posting abusive words ndugu yangu.
 
Kauli zako zitafanya watu waogope kukutafutia msichana wa kazi jina gani unalowaita binadam wenzio kuwa mstaarabu ndugu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Noted with thanks!
Will be affected as directed.
 
Kauli zako zitafanya watu waogope kukutafutia msichana wa kazi jina gani unalowaita binadam wenzio kuwa mstaarabu ndugu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Ivi naweza kupata kaelimu kidogo kwanini hawa watu wanaitwa beki 3?? Beki moja na mbili nani hadi yeye acheze tatu?Naona Mapolomoko hapo juu karibu amtafune Sumba-Wanga kisa kutumia hilo jina.

 
Last edited by a moderator:
Siyo povu, wewe ndiyo umeshindwa kutumia lugha ya kistaarabu, maana waweza kung'amua utu wa mtu kwa kauli yake.

Asante Mkuu kwa lugha yako ya kiistarabu

Huwezi pima utu wa mtu kwa jambo moja tu.
 
Back
Top Bottom