Nauza Heka 3 zipo Kibaha
Zina hati zimepakana na barabara ya kwenda Morogoro. Heka moja nauza mil 300 eneo ni zuri sana kama unahitaji piga sim no 0659161693. Karibuni sana
GCC COMPANY LIMITED ..DEALS WITH FURNITURES AND BED SOFA and more...... MAKING-TUPO , KCMC MAPIPA ROAD MOSHI-KILIMANJARO.
Huduma zetu :
1. Kutengeneza makabati ya nguo (dress table included) ...
Humminbird HELIX 12 ($1000)
This is one of the units the Wired2fish staff has the most time with and can say without reservation that this is one of the best units on the market for anglers. Our...
Ndugu zangu nahitaji anayeuza fremu za biashara hata kama nyumba ya nyuma utabaki nayo (Kama ipo) eneo lililochangamka
Aniuzie fremu tu za biashara niwe nazipangisha na kufanyia biashara zangu
Ndugu wanajamii forum wenzangu napenda kuwajulisha kwamba kama unandugu, Mtoto au Jirani anayetaka kujifunza fani ya ufundi, kwa vitendo ikiwa ni ufundi wa (KUTENGENEZA SIMU , SABUGA , TV , FENI ...
Kuna msemo wa Kiswahili usemao: "mali bila daftari, hupotea bila habari." Mfanyabiashara makini hufahamu hili na ndio maana haachi kutunza kumbukumbu za biashara yake.
Utunzaji wa taarifa za...
Ongeza maarifa kupitia mwongozo wa vitabu vya kilimo bora cha kisasa na ufugaji bora wa kisasa kwa Tsh 2,000 tu kwa kila kitabu. ( e-book)
Vitabu hivi vipo kwenye mfumo wa softcopy (pdf) na...
Habari wana Jamiiforums,
Mimi ni mgeni jijini Arusha, natafuta kiwanja maenezo mazuri yaliyotulia ambacho kitafaa kwa apartment au min hotel…naomba recommendation zenu sehemu gani ni nzuri kwa...
Wadau naomba mnielekeze wapi Kwa dar naweza pata Car washi inayoongoza kwenye uoshaji wa gari na kung'oa VITI kuisafisha ikarudi kwenye upya wake?
Gharama si tatizo please
Wadau nahitaji mbegu bora za papai aina ya Carina na mwenye kuzijua vizuri anipe ujuzi namna ya kuandaa Miche na huduma zake hadi kuvuna.
Shamba ni ekari moja na nusu.
Wadau nimejaribu kupitia Alibaba naona kama bei ya magari ni mchelea kuliko huko kwingine, najiuliza kwanini watu hawaagizi kupitia Alibaba
Check out this product on the Alibaba app: NEWLY USED...
TANGAZO TANGAZO
Kampuni ya AQUARIAN PROJECT SOLUTIONS iliyoko jijini Mwanza kupitia LILIAN KITCHEN CATERERS na DW CLEANING SERVICE inapenda kutangaza nafasi za ajira kama ifuatavyo
Nafasi 20 za...
Tunahitaji wafanyakazi wa kike/Kiume kuhudumu katika pub iliyopo Kinondoni, barabara ya Mwananyamala Dar es Salaam; awe na elimu ya kidato cha 4 au Cheti; uzoefu wa Kazi; umri miaka 18 hadi 30...
Habari za majukumu wananch!.
kuna mzee mmoja anauza eneo lake alinifata mimi akijua nina mpunga,kumbe siri ya mtungi naijua mwnyewe..
eneo ni tambarare
ukubwa 30m*70m
Bei mil 24.5...
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.