Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza Heka 3 zipo Kibaha Zina hati zimepakana na barabara ya kwenda Morogoro. Heka moja nauza mil 300 eneo ni zuri sana kama unahitaji piga sim no 0659161693. Karibuni sana
1 Reactions
58 Replies
3K Views
GCC COMPANY LIMITED ..DEALS WITH FURNITURES AND BED SOFA and more...... MAKING-TUPO , KCMC MAPIPA ROAD MOSHI-KILIMANJARO. Huduma zetu : 1. Kutengeneza makabati ya nguo (dress table included) ...
0 Reactions
4 Replies
920 Views
Humminbird HELIX 12 ($1000) This is one of the units the Wired2fish staff has the most time with and can say without reservation that this is one of the best units on the market for anglers. Our...
0 Reactions
7 Replies
557 Views
Ndugu zangu nahitaji anayeuza fremu za biashara hata kama nyumba ya nyuma utabaki nayo (Kama ipo) eneo lililochangamka Aniuzie fremu tu za biashara niwe nazipangisha na kufanyia biashara zangu
1 Reactions
4 Replies
619 Views
Ndugu wanajamii forum wenzangu napenda kuwajulisha kwamba kama unandugu, Mtoto au Jirani anayetaka kujifunza fani ya ufundi, kwa vitendo ikiwa ni ufundi wa (KUTENGENEZA SIMU , SABUGA , TV , FENI ...
1 Reactions
9 Replies
823 Views
Infinix smart6 inauzwa Bei ni 150000 tu Haina shida yoyote Mawasiliano, 0698235368.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna msemo wa Kiswahili usemao: "mali bila daftari, hupotea bila habari." Mfanyabiashara makini hufahamu hili na ndio maana haachi kutunza kumbukumbu za biashara yake. Utunzaji wa taarifa za...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani, Ni duka lipi? lenye hii simu mpya original kabisa nalitafuta?
4 Reactions
38 Replies
3K Views
Ongeza maarifa kupitia mwongozo wa vitabu vya kilimo bora cha kisasa na ufugaji bora wa kisasa kwa Tsh 2,000 tu kwa kila kitabu. ( e-book) Vitabu hivi vipo kwenye mfumo wa softcopy (pdf) na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
.
0 Reactions
1 Replies
364 Views
Habari wana Jamiiforums, Mimi ni mgeni jijini Arusha, natafuta kiwanja maenezo mazuri yaliyotulia ambacho kitafaa kwa apartment au min hotel…naomba recommendation zenu sehemu gani ni nzuri kwa...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Wadau naomba mnielekeze wapi Kwa dar naweza pata Car washi inayoongoza kwenye uoshaji wa gari na kung'oa VITI kuisafisha ikarudi kwenye upya wake? Gharama si tatizo please
1 Reactions
1 Replies
445 Views
Wadau nahitaji mbegu bora za papai aina ya Carina na mwenye kuzijua vizuri anipe ujuzi namna ya kuandaa Miche na huduma zake hadi kuvuna. Shamba ni ekari moja na nusu.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau nimejaribu kupitia Alibaba naona kama bei ya magari ni mchelea kuliko huko kwingine, najiuliza kwanini watu hawaagizi kupitia Alibaba Check out this product on the Alibaba app: NEWLY USED...
1 Reactions
4 Replies
622 Views
TANGAZO TANGAZO Kampuni ya AQUARIAN PROJECT SOLUTIONS iliyoko jijini Mwanza kupitia LILIAN KITCHEN CATERERS na DW CLEANING SERVICE inapenda kutangaza nafasi za ajira kama ifuatavyo Nafasi 20 za...
2 Reactions
5 Replies
953 Views
Tunahitaji wafanyakazi wa kike/Kiume kuhudumu katika pub iliyopo Kinondoni, barabara ya Mwananyamala Dar es Salaam; awe na elimu ya kidato cha 4 au Cheti; uzoefu wa Kazi; umri miaka 18 hadi 30...
1 Reactions
1 Replies
510 Views
Habari za majukumu wananch!. kuna mzee mmoja anauza eneo lake alinifata mimi akijua nina mpunga,kumbe siri ya mtungi naijua mwnyewe.. eneo ni tambarare ukubwa 30m*70m Bei mil 24.5...
1 Reactions
10 Replies
574 Views
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe...
1 Reactions
1 Replies
888 Views
Nahitaji kutumia modem hii lkn sioni card slot zaidi ya memory card slot. Kwa anayejua namna ya kuitumia, anisaidie maelekezo, waungwana.
1 Reactions
4 Replies
563 Views
Back
Top Bottom