“Generally, real estate is cyclical. You have to buy in a way that lets you afford the cycles. And you have to know where you are in the cycle.”
Charles Brown
Kukaa na kusubiri soko ya ardhi na...
Nauza gari yangu binafsi ninayoitumia kila siku ,gari ni nzima haina shida yoyote Kama inavyoonekana kwenye picha, karibu ukihitaji kukagua nipigie 0685587887
Wadau nawakaribisha mashine za kukamua na kuchuja juisi ya miwa
Ni imara na bora na zinatumia umeme mdogo sana
Tunaziuza kwa 1350000 tu ewe mjasiriamali ongeza kipato chako kwa hii mashine...
Hello wana jamvi unahitaji mashine ya kutengeneza ice lolly wengi mtaani tumezoea tunaziita lambalamba utazipata kwetu na tunakupa ushauri bureee,
Hizi mashine ni nzuri sana hasa hiki kipindi cha...
Lile kusanyiko Kubwa la aina yake lililowahi kutokea nchini mwanzoni mwa utawala wa B.W. Mkapa June 1996 (miaka 20 iliyopita) leo lipo mjini Mwanza ambapo mwinjilisti wa kimataifa R. Bonnke...
ONSALE[emoji593][emoji593]
2018 FORD RANGER
Engine Capacity Cc: 3200
Mileage: 70,000
Model Number: 3.2L
Fuel: DIESEL
Colour : Grey
SEAT CAPACITY 6
Music systems
Dvd player
Rim sport
Good...
Dell vostro i3 3400 kwa 1.2M
Lipia kwa Installment, 25% kwa mara ya kwanza kiasi kinacho baki utalipia ndani ya miezi 3
Maelezo zaidi, picha manunuzi click link hapa...
Habari wakuu,
Natafuta saluni ya kiume ya kununua hapa Dar es salaam.Au kama kuna mtu mwenye frem inayofaa kwa biashara ya saloon anijuze.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Wakazi wa Lushoto nipo wilayani kwenye nipo Lushoto mjini stand kuu ya Magari hapa ndo nimeingia muda si mrefu
Shida yangu bhana natafuta hostel yoyote ya kufikia na kukaa ndani ya siku kadhaa...
Mwenye uhitaji wa king'amuzi cha Canal plus anicheck
Bei full set ni Tsh.135,000
Kununua kifurushi kwa mwezi Tsh.50,000
Kinaonesha League za
-UEFA
-UEROPA
-PRIMER LEAGUE
-BUNDASLIGA
-SPAIN...
Nahitaji wadada wawili kwa ajili ya kuhudumia kwenye mgahawa na kusaidia kazi ndogo ndogo
Awe ana uzoefu na biashara ya mgahawa anaweza kuserve, usafi.
Akiwa anakaa mkoa wa Pwani Kibaha ts...
Kuna mzee anauza shamba la mitiki lenye ukubwa wa hekali 7. Mitiki imekuwa imefikia ukubwa kama nguzo ya umeme kwa unene. Mzee anahitaji mil 22 tu, umri umemtupa mkono anaona ni bora ale...
Habari wadau nauza maharage mapya mazuri ya njano kwa bei ya jumla.
kilo moja nauza shilingi 2500.
Mzigo upo tani 2 na nusu asante.
Tuwasiliane kwa namba ya simu
+255789740368
Habari wana jf nauza shamba lenye ukubwa wa ekari 50 lipo Dodoma wilaya Chemba kijiji cha Majengo kata ya Parang. Umbali kutoka barabara kuu ya Dodoma Arusha ni km16 bei ni sh.250000/= kila ekari...
MIKUMI NATIONAL PARK & CHOMA WATERFALLS
(2 DAYS | 1 NIGHT)
*TAREHE 16-17th December 2023
GHARAMA, 155,000/=
SAFARI ITAANZIA DAR
*ITAHUSISHA
-Malazi
-Usafiri kwenda na kurudi
-Chakula...
Habari za wakati huu;
Je wewe ni Mmiliki wa Bar au Restaurant na Maeneo mengine ya Burudani?Je ungependa kuwa World Class Service Provider na kufikia Wateja wengi zaidi huku ukiongeza Ushindani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.