Wakuu habari.
Store ndogo sqm 18 hadi sqm 25 inahitajika iwepo maeneo ya kariakoo, Magomeni au Keko kwa mwenye kuweza kufahamu au kuniconnect tafadhali nicheck inbox.
Huduma ya kusafirisha mizigo mikubwa na midogo kutoka Dar kwenda mikoa yote Tanzania ipo hapa.
Tunatuma mizigo kwa njia ya ndege,bus na malori.
Huduma zetu ni nafuuu. Kabisa na uhakina usalama...
Hellow Guys!
Mmeshindaje? Poleni na mahangaiko ya kila siku.
Wadada nina mambo mazuri sana. As we know mwanamke ni pambo lazima liwake na kupendeza muda wowote ili liendelee kuvutia. Jamani nina...
Nyumba inauzwa viwanja viwili ndani ya fence .
Vyumba vya Kula 2 self
Chumba Cha Kulala Cha nje 1
Sebule na dinnning
Public toilet
Fence
Eneo 57*35
Location.
Bendera tatu /BugandoHospital - Kona...
Nahitaji mtu mwenye akili na msomi ambaye nataka awe mshauri mkubwa wangu kwa mambo mbali mbali ya maisha yangu
Kama uko tayari ni text dm
Tuongee mambo mengine Niko serious bro’s
Hello sweethearts.
Kama wewe Ni fundi ujenzi,au una idea na kujenga,Bei za vifaa,kiwanja etc..njoo tupige story
...Nina million tano hapa.
Naplan kiwanja Cha 15/20
Halafu fundi anijengee Apo...
IPHONE 14 PRO MAX GB 256
[emoji736]BADO MPYAA IPO KWENYE CLEAN CONDITION
BATTERY [emoji367] 100%
FACE ID [emoji736]
TRUE TONE [emoji736]
[emoji3541]2,440,000 TU
[emoji736]MUUZAJI NI MIMI...
Shamba kubwa linauzwa Maeneo ya Vigwaza Kibaha(Coast) lenye Ukubwa wa Hekta 28.13
SHAMBA hilo linagusa Rami iendayo Morogoro.
SHAMBA hilo linaumeme Mkubwa wa Viwanda 33kv na Maji ya kutosha...
Je, wewe ni mmiliki wa gari binafsi, bodaboda, bajaji, au una biashara yenye magari mengi? Tracking ya magari sio anasa tena – ni haja!
🔑 Kwa Mmiliki Binafsi:
Jua chombo chako kiko wapi 24/7...
Utangulizi.
Idadi ya mipango miji na vijiji kina kitengo cha upimaji na ramani. Kitengo hiki kimepewa jukumu la;-
✓ Kupima ardhi na
✓ Kutayarisha ramani (survey plan) za miji na vijiji.
Ramani...
Kufokasi ni msingi mojawapo muhimu sana sana kwenye uwekezaji wa ardhi na majengo. Bila kufokasi kwenye maeneo nitakayoainisha hivi punde haiwezekani kujenga himaya ya utajiri kwa wakati muafaka...
Habari wakuu!
Nina dagaa nyama wengi Sana kutoka Tanga,naomba munijuze wapi Kuna SOKO la uhakika kwenye mikoa yetuu.Pia wenye uzoefu wa biashara hii kwa mikoani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.