Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 3,871
- 8,381
Habari za mchana wakuu.
Mimi niko ukerewe-Nansio. Natafuta wafanyabishara wa nafaka wa jumla walioko jijini Mwanza.
Nafaka ninazotaka ni kama vile maharage, karanga, kunde, dengu, choroko n.k
Nataka wawe wananitumia mzigo kwa njia ya meli.
Asante.
Halafu moderators mbona mnafuta sana nyuzi zangu?
Mimi niko ukerewe-Nansio. Natafuta wafanyabishara wa nafaka wa jumla walioko jijini Mwanza.
Nafaka ninazotaka ni kama vile maharage, karanga, kunde, dengu, choroko n.k
Nataka wawe wananitumia mzigo kwa njia ya meli.
Asante.
Halafu moderators mbona mnafuta sana nyuzi zangu?